Naongelea hit mzee, nina nyimbo zote za kendrick lamar simjui kendrick kutoka vijiweni namjua coz namsikiliza na nina download ngoma zake, tunacho fanya hapa ni kila mtu kutoa nani mkali kwa mtazamo wake. So siwezi kusema eti kendrick kwa sababu na wewe umesema! Una sababu zako zaku mfanya kendrick awe mkali kwako, nina sababu zangu pia zaku mfanya drake awe mkali kwangu
Kwenye HIP-HOP huwa hatufananishi Ubora wa EMCEE's kwenye HITS, huwa tunafananisha ubora wa EMCEE's kwenye Message!
Mfano 2pac, BIG, Jay-Z etc, wanaHit nyingi sana katika career zao kuliko RAKIM, KRS-ONE, NAS na BDK (Big Dady Kane)..lakini Mpaka leo unapozungumzia One of the Greatest Hip-Hop Emcee's Duniani RAKIM huwa anachukua namba MOJA always, i mean wanaharakat na wachambuzi wengi wa HIP-HOP huwa wanamconsider jamaa kama ndo the most dangerous and complete EMCEE to ever live, japokuwa alikuwa na few hits and platnumz kuliko kina PAC na kina BIG..
Nas Escober is consdered to be "one of the greatest Hip-Hop lyricist" na ni album yake ya kwanza kabisa ya "illimatic" ndo ilimpa hicho cheo mpaka leo, na ni "moja kati ya 5 greatest Hip-Hop Album kuwah kutokea", lakin nambie ilikuwa na HITS ngapi? ukifananisha na Album yake ya pili ya "it was written"??? ambayo ilishika mpaka number 1 kwenye billboard?
Kendrick Lamar, hajaAim kwenye "mainstream rap" wakat Drake ni "pure mainstream"..drake anafanya biashara na ndo YMCMB wanachofanya, wanafanya music kulingana na soko la music linavyoenda.
Usitegemee Kendrick kufanya HITS nyingi, wakat muzik wake umeAim katika harakat na mafundisho, sana sana katika harakat za kuelezea changamoto za watu weusi na karaha zingine za maisha!..Ndo maana HIP-HOP heads kibao wa WEST COAST wanamuunga mkono (kina kurupt).
kwa aina ya HIP-HOP wanayofanya Hawa Watoto, Kendrick nadhan ungemweka kundi moja angalau na madogo wenzake kina A$AP ROCKY, siwez kumweka Kendrick kundi moja na kina MASTERACE au MURS coz bado hajafika level zile japokuwa ni generation moja. LAKINI ni matusi kumweka Kendrick na Drake kundi moja..ni kama unakuwa unafananisha uwezo wa T.I na mtu kama LIL WAYNE au NELLY which is BULLSHIT!
mistari kama hii katika ngoma yake kendrick lamar ya TODAY huwez kutegemea utaisikia kwenye hizi "mainstream radios"
F*ck the truth
F*ck Religion
F*ck the Government
F*ck the law
F*ck the Prisons
F*ck George Bush
F*ck Rappers who love dissin
F*ck you because you dont see my vision.
tofauti na ile mistari ya "all i need is them jordans" ya kina Drake..muweke Drake na kina Tyga, Big sean, J.cole, 2 Chainz, Wale, Meek mill etc coz wote hao ni "MAINSTREAM RAPPERS" hawana influence yoyote ile kwenye jamii inayowazunguka, coz wanachofanya wenyewe ni BUSINE$$ ambapo ni dhambi kuwafananisha na rappers ambao hawajaAim katika "Mainstream Rap"