Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
Kendrick Lamar
Anazo, lakini anazificha sana zipo mgongoni, siyo kama akina Birdman nawengine.
Nas Escober lini kawahi kum-nyooshea mikono Drake??
kina Tyga, Big sean, J.cole, 2 Chainz, Wale, Meek mill etc coz wote hao ni "MAINSTREAM RAPPERS" hawana influence yoyote ile kwenye jamii inayowazunguka, coz wanachofanya wenyewe ni BUSINE$$ ambapo ni dhambi kuwafananisha na rappers ambao hawajaAim katika "Mainstream Rap"
Hapa nimekuelewa mkuu
Huyo Ed na vichaa wenzake huwa wananivunja mbavu kibingwa.
Drake mkali,mshindanishe na Kanye west.