Kengele inayopigwa toka mwaka 1840

Kengele inayopigwa toka mwaka 1840

Polycarp Mdemu

Senior Member
Joined
Jun 2, 2019
Posts
165
Reaction score
209
ULIWAHI KUSIKIA HII?

Pichani ni Kengele ya Umeme Inayopatikana Katika Maktaba ya Oxford,
Inafahamika kwa jina la OXFORD ELECTRIC BELL wengine huiita CLARENDON DRY PILE.

Kwa Mara ya kwanza iliwashwa Mwaka 1840 na inarun mpaka leo, Kwa maana iyo ina miaka 180 ikipiga Kengele bila kuzimwa. Inasemekana ni moja ya vifaa vinavyofanya kazi kwa mda mrefu (Long-term experiment)

Ilikuwa ni moja ya vipande vya kwanza kununuliwa kwa ajili ya kukusanya vifaa vya Maktaba na Mchungaji pia MwanaFizikia Robert Walker. Inasemekana ilitengenezwa mwaka 1825.

Na
Polycarp Mdemu

Oxford_Electric_Bell.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti inasemekana wanasayansi hawajui composition ya battery yake hadi kupelekea ifanye kazi kwa muda mrefu hivyo na hawataki kuifanyia chochote wakihofia kuiharibu.
.
Funny fact
 
Back
Top Bottom