Kennedy Juma jitahidi uwe na Adabu kusema Simba SC ni sawa na Klabu yako ya sasa, ila tofauti ni Jina tu Dharau itakayokupa Laana baadae

Kennedy Juma jitahidi uwe na Adabu kusema Simba SC ni sawa na Klabu yako ya sasa, ila tofauti ni Jina tu Dharau itakayokupa Laana baadae

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325

Sasa ifike muda Wachezaji wa Tanzania wawe wanapewa Elimu ya kujua Kuzungumza hasa pale Mic zikiwa zimewekwa Midomoni mwao kwa ajili ya Wao kusema lolote. Sijawahi kuona Mchezaji wa Ulaya hata kama akiachwa na Klabu yake akiondoka na akifanya Interview na Watu wa Press basi anatukana au anamalizia Hasira zake zote za Kuachwa / Kutemwa.

Ukitaka kujua (hasa kwa wale Matomaso) alichosema nenda katika Ukurasa wa Instagram wa davidpascol utamuona na kumsikiliza pia.
 
Hii Simba iko nafasi ya tatu haina tofauti ya kiwango na KMC, Dodoma jiji au Ihefu, mi naona Kennedy yuko sahihi kabisa. Kupigwa 5-1 na Yanga ni ushahidi mkubwa.

Tatizo letu kubwa watz ni kukataa ukweli, na ndio janga kubwa lililoko Simba, tumesema sana Simba ni mdebwedo haijiwezi ila makolo huwa hawasikii.

Safari hii Simba inaweza kushuka tena na kuwa ya nne kabisa maana imesemwa imepigwa 6-2 huko Misri!!
 

Sasa ifike muda Wachezaji wa Tanzania wawe wanapewa Elimu ya kujua Kuzungumza hasa pale Mic zikiwa zimewekwa Midomoni mwao kwa ajili ya Wao kusema lolote. Sijawahi kuona Mchezaji wa Ulaya hata kama akiachwa na Klabu yake akiondoka na akifanya Interview na Watu wa Press basi anatukana au anamalizia Hasira zake zote za Kuachwa / Kutemwa.

Ukitaka kujua (hasa kwa wale Matomaso) alichosema nenda katika Ukurasa wa Instagram wa davidpascol utamuona na kumsikiliza pia.
Huyu tangu afungishe lile goli mechi na Namungo nimetokea kumchukia sana
 
Back
Top Bottom