utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Kocha mbrazili anataka kumpa ukapteni Kibu D kwa kiwango kikubwa anachoonesha mazoezini[emoji1][emoji1]Yaani kuna timu itakimbia mechi ya marudiano.. huku Mayele kule Mussonda halafu Hawa wenzetu kibu d kule Habib kyombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaman jaman jaman watu nawaonea huruma sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani kuna timu itakimbia mechi ya marudiano.. huku Mayele kule Mussonda halafu Hawa wenzetu kibu d kule Habib kyombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaman jaman jaman watu nawaonea huruma sana
Yanga haijawahi kuitisha Simba, sare zimekuwa nyingi siku hizi. Lakini Simba imeshaichapa Yanga goli 3, 4, 5 hadi 6, bado 7 hazijatokeaYaani kuna timu itakimbia mechi ya marudiano.. huku Mayele kule Mussonda halafu Hawa wenzetu kibu d kule Habib kyombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaman jaman jaman watu nawaonea huruma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmesahau mzee wa riadhaa, kisinda, sahv mmehamia kwa musondaa? Tunasubirii kuonaaa maajabu yakee.Kila la heri kwake. Wananchi tunataka magoli, ili tuendelee kuwa mabingwa wa ligi kuu kwa miaka 10 mfululizo.
Yaani ndani ya mwaka mmoja tumewanyuka mara 3 halafu bado tu hamkomi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yanga haijawahi kuitisha Simba, sare zimekuwa nyingi siku hizi. Lakini Simba imeshaichapa Yanga goli 3, 4, 5 hadi 6, bado 7 hazijatokea
hawa jamaa kazi wanayo tena sio ndogo.Yaani kuna timu itakimbia mechi ya marudiano.. huku Mayele kule Mussonda halafu Hawa wenzetu kibu d kule Habib kyombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jaman jaman jaman watu nawaonea huruma sana
MPMusonda ni mzuri Sana ukitaka kuamini fatilia ligi ya Zambia uone anavyo kiwasha kwenye timu yake ya dynamo
Hizo clip za YouTube ndio zilifanya Kambole na chiko ushindi wakasajiliwaMusonda ni mzuri Sana ukitaka kuamini fatilia ligi ya Zambia uone anavyo kiwasha kwenye timu yake ya dynamo
Halafu wanawakandaWanasajili halafu siku ya game na Simba wanapita milango isiyoruhusiwa
Mlichukua zaidi ya 20 mkawa bado omba omba. Ni mabingwa zaidi ya 20 lakini mnawazidi Ihefu jengo tu lililochoka. Hii ligi siyo aisee au Wewe unaonaje?Kila la heri kwake. Wananchi tunataka magoli, ili tuendelee kuwa mabingwa wa ligi kuu kwa miaka 10 mfululizo.
Simba wanaiwaza CSKA Moscow, utopolo wanaiwaza Simba 🤣hawa jamaa kazi wanayo tena sio ndogo.