Mekatilili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 1,613
- 1,383
Hamna team au Nchi moja pale LDC na Kama unabisha Weka hata team moja kwenye sevens iliyo na u humi wa LDC Kama wa Tz.Nilijua tu lazima uhorojeke...seven a side iko famous in kenya pekee...
Wenzetu ndio kina nani hao? Kama unamaanisha Tz itakuwa ni ajabu kuona walevi wa mbege na wanzuki, wenye utapiamlo, uwanjani wakifa bure mmoja baada ya mwingine.Mkuu acha kushabikia ujinga. Huu mchezo wa 7 a side kwa wenzenu ni watu wa bar anaunda club na kucheza kama passtime, nashangaa nyie mnaweka n bajeti kabisa kujiandaa.
Congrats to Shujaa, it was an impressive performance.View attachment 1293083View attachment 1293084 The boys went down 17 - 5 against RSA. Well in guys!!! We shall get em next time!! No shame in loosing to the host and current world champs!!
Phew! We were lucky! RSA isn't a team to joke with.View attachment 1293083View attachment 1293084 The boys went down 17 - 5 against RSA. Well in guys!!! We shall get em next time!! No shame in loosing to the host and current world champs!!
Huu mchezo hauhitaji wala chipsi mayai, mtori na juisi za miwa. Hivi kuna chochote ambacho Wadanganyika wanaweza kufanya kando na kucheza segere, singeli na kunyoa viduku????????View attachment 1292160View attachment 1292118View attachment 1292117View attachment 1292116
We lfa sanaRudi kwenye vigodoro, hujafikia hadhi ya kujadili haya mambo.