KeNHA
Kenya National Highways Authority (KeNHA) is a state corporation, established under the Kenya Roads Act 2007 with the responsibility for the management, development, rehabilitation and maintenance of international trunk roads linking centres of international importance and crossing international...www.kenha.co.ke
Hongera kenya kwa kujenga 12,000 KM za barabara..Kenya: Over 90% of Roads Are Not Tarmacked, Report Shows
Less than six per cent of Kenyan roads are tarmacked, with only 4,300 of the total 12,950km of paved roads in good condition, statistics by the Kenya Roads Board has shown.allafrica.com
Habari za Leo majirani. Nimekutana na hii ripoti inayosema kwamba barabara za Kenya zenye Lami urefu wake zote ni 12,950km pekee kwa nchi nzima, kati ya hizo ni 4,300km ndio angalau zipo katika hali nzuri.
Nimejiuliza sana, hawa wenzetu wanaosema kwamba Kenya imejenga barabara za lami zenye urefu wa 21,000 km, wanatoa wapi taarifa zao?.
Pia ripoti hii ambayo imetolewa na "Bodi ya barabara ya Kenya", inaonyesha bajeti wanayopewa ni kama nusu ya bajeti ya Tanzania ya barabara. Tafadhali tunaomba ufafanuzi ya hili.
Kenya barabara za lami ni 10k kilometres, unaweza kushangaa eti Kenya nchi ndogo inaingia mara 2 kwa Tanzania sio counties xote zimeunganishwa na lami iipite Tanzania kubwa mara mbili huku mikoa yote Tanzania ikiwa imeunganishwa na lami
Hii haingii akilini kabisa, Kenya wana mtandao wa lami sawa na mkoa mmoja tu Tanzania wa Dar au Tanga.
😂 😂 😂 😂Waambie wakuletee Kila bara bara na Km zake
Nyingi ni 30km 60km
Zingine Kuokota picha za watu
Lamu iko coastal Kenya[emoji16][emoji16]Kenya: Over 90% of Roads Are Not Tarmacked, Report Shows
Less than six per cent of Kenyan roads are tarmacked, with only 4,300 of the total 12,950km of paved roads in good condition, statistics by the Kenya Roads Board has shown.allafrica.com
Habari za Leo majirani. Nimekutana na hii ripoti inayosema kwamba barabara za Kenya zenye Lami urefu wake zote ni 12,950km pekee kwa nchi nzima, kati ya hizo ni 4,300km ndio angalau zipo katika hali nzuri.
Nimejiuliza sana, hawa wenzetu wanaosema kwamba Kenya imejenga barabara za lami zenye urefu wa 21,000 km, wanatoa wapi taarifa zao?.
Pia ripoti hii ambayo imetolewa na "Bodi ya barabara ya Kenya", inaonyesha bajeti wanayopewa ni kama nusu ya bajeti ya Tanzania ya barabara. Tafadhali tunaomba ufafanuzi ya hili.
Embu kaa chini soma ulichoa andika,sasa kama mnajengea watu mna watu gani kuizidi tz!!!Are you retarded? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kenya nchi ndogo ina lami karibu mara mbili ya lami za Tanzania.
Whether lami inaunganisha county zote ni non-issue. Lami imejengwa kwenye watu wanaishi.
We can't build tarmac in the desert where nobody lives just so we can say we have built everywhere.
Hahahahaha, failed state hata barabara hamuwezi kujenga, reli imewashinda, zaidi ya tribalism na ukabila, nini tena mnaweza?Wah! Tz na ukubwa wake iko na 12000 km only? Naona ni kwa Nini wamehepa ule Uzi wa mabarabara [emoji23][emoji23]
Are you retarded? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kenya nchi ndogo ina lami karibu mara mbili ya lami za Tanzania.
Whether lami inaunganisha county zote ni non-issue. Lami imejengwa kwenye watu wanaishi.
We can't build tarmac in the desert where nobody lives just so we can say we have built everywhere.
Hey Mkorino, we don't deal on blogs. Bring us the official statement from either KURA or KENHA. You can even post the article of the same by either Citizen TV, Ntv, K24, KTN, Standard, Daily Nation or any recognizable article because they won't fail to report anything dealing with Kenya. Hizi vitu umeleta are like Kahawa Tungu ya Robert Alai, Hivi Sasa and Tuko that are filled with rumours which they can't explain.
Hahahahaha, hapa tuna kwenda kwa facts, kama unayosema ni ukweli, weka hapa watu waone.Hongera kenya kwa kujenga 12,000 KM za barabara..
Tanzania imejenga 7000 tuu hadi leo.
Anayebisha afungue tovuti ya tanroad
Failed state ninyi, mdomo mtupu na kupenda kujisifia, never again compare your failed state na sisi.bwahaha....kuna maneno niliyanukuu katika ile ripoti...hujai quote mpka sasa joto lajiwe...
kenya 21000km
tanzania 12000km
wuhuhuuuuu
Hahahahaha, hii nayo ni Blogger?MPs: Sh80b was spent on non-existent road projects
They say plan, launched by President Kenyatta, could turn out to be charade to siphon public funds.www-standardmedia-co-ke.cdn.ampproject.org
Acha kupoteza muda wako, kama media zimemnukuu mtu au Serikali, kama huyo mtu hajapinga au kutolea maelezi, hiyo habari inabaki kuwa kweli. Kwenye barabara tumemaliza.Sasa ni wapi qamesema ni 90% aren't tarmacked
Acha kupoteza muda wako, kama media zimemnukuu mtu au Serikali, kama huyo mtu hajapinga au kutolea maelezi, hiyo habari inabaki kuwa kweli. Kwenye barabara tumemaliza.
Tuingie katika UMEME tuone huko nako kukoje?, hii ndio hali ya UMEME ya Tanzania.
Umeme Tanzania is at 32.7%.
Failed state, Hahahahaha, Hahahahaha.Hahaha joto la jiwe unajifariji Sana ila $99b economy ya failed state humtaifikia hata na watukuu was watukuu wako. Sasa weka Jina kibera, maparachichi na eurobond hapo afu mkishanunua betri za ATCL unitag Buda afu pia Bagamoyo ikikamilika pia tag me [emoji23]