Kenya; 90% ya Barabara za Kenya hazina Lami

International organizations ziko;
1 Kilimani
2.Mombasa road
3.Westlands
4.Kileleshwa
5.Parklands
6.Upper hill
7.CBD
8.Ngong' Road
9.Thika
10. Athi river
11. etc
Mbona sijaona International organization hata moja ikiwa na ofisi Kibera?
 
If animals were to be classified according to their characters you could have fallen in the group of apes especially monkeys. You have a dominant trait in you which is kurukaruka. Your discussion is not in a line, Mara mob huwa ukilemewa in an issue unajump to another story. Anyway, it seems that's what suites you well, endelea kurukaruka naenda kukutafutia miti usije ukaanguka.
Ninyi mkiambiwa ni failed state mbakasirika, David Ndii aliwaambia sana kuhusu upumbavu wenu wa kutotumia akili wakati wa kupanda miradi, sasa hivi mnaanza kujuta. Failed state ninyi
 
Kibera inangoja Dar ikuwe nayo kwanza, haitaki kupea competitor gap kubwa sana kimaendeleo. Dar ndio size ya kibera.
Mbona sijaona International organization hata moja ikiwa na ofisi Kibera?
 
Hahahahaha, hii ni kuonyesha kwamba nchi nzima ya Kenya imeoza, haimaanishi tuache " main topic" Hahahahaha.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanapika data mpaka zinaungua kama kaukau, waje Tanzania wajifunze, 😁😁 ndio maana ile thread yote pages zaidi ya 55 ni thika highway tu ndio inawekwa.
kweli zinaungua hahahah
 
Ilete hapa hiyo ripoti sisi hatujaiona, sasa board members wanasema wamejenga 12,000. Wewe unapiga bila ushahidi, kabla ya kuleta ripoti au kumsikia Waziri kukanusha Maneno ya board, ukweli utabaki kwamba Kenya mpo na 12,000 pekee.
 
Sindano kali hii

Kenya: Over 90% of Roads Are Not Tarmacked, Report Shows
Nie mnaugua ugonjwa wa wivu na small mindedness.Uongo uliopo hapa ni wa kutatanisha ili mjiliwaze roho zenu chafu.
 
Nie mnaugua ugonjwa wa wivu na small mindedness.Uongo uliopo hapa ni wa kutatanisha ili mjiliwaze roho zenu chafu.
Umewekewa ripoti ya board members wanasema hivyo, wewe unayepinga ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…