Kenya after president Uhuru

Kenya after president Uhuru

Joined
Mar 4, 2022
Posts
12
Reaction score
4
There is Doubt Kenya is doing well after previous regime. The economy is steadily and slowly improving and this should be something to be celebrated about. as a matter of fact through the 3 months the current president has been in office there has not been heard a single case of corruption reported, The tourism has been steady improving with so many tourist reserving tour packages to coastal region. That is leadership that should be emulated with other countries in East Africa.
 
Kwa mujibu wa takwimu za Nguvukazi na soko la ajira Tanzania (Bara na Visiwani) mwaka 2021/2022 lipo jambo ambalo tunapaswa angalau kuona jitihada na kulisema kwani ni hatua ya kuonesha jitihada za makusudi kufikia lengo.

Takwimu zinaonesha umasikini Nchini Tanzania ulishuka kutoka asilimia (34%) mwaka 2007 hadi asilimia (26%) mwaka 2018 kiwango hicho kilihesabika kuwa ni kidogo ukilingnisha na nchi nyingine jirani kama vile; Burundi(65%), Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo (64%), Kenya (36%), Malawi (52%), Msumbiji (46%), Rwanda(38%), na Zambia (54%) isipokuwa nchi ya Uganda ndiyo iliyokuwa na asilimia (21%). Jambo hili Kwa hakika tunapaswa kuona jitihada na kusema licha ya uwepo wa changamoto nyingine nyingi Kwa sababu umasikini ni moja ya maadui wakubwa watatu wa Taifa hili lakini pamoja na hayo bado tunahitaji jitihada za makusudi kuendelea na mapambano dhidi ya umasikini na madhila yake.

Pamoja na hayo takwimu zinaonesha bado hatufanyi vizuri kama Taifa katika meneo mengi ambayo yanaweza kuruhusu adui ( umasikini kujipanga upya). Baadhi ya maeneo hayo ni biashara za mipakani Tanzania inashika nafasi ya 182, ulipaji Kodi nafasi ya 165, Uanzishaji biashara nafasi ya 162, Vikwazo kwenye Uutoaji wa vibali n nafasi ya 149, Ukuzaji wa raslimali watu (Human Development Index (HDI) nafasi ya 163 kati ya 189 mwaka 2020.

Kinachotupa matumaini ni jitihada zinazochukuliwa na Serikali iliyopo madarakani. Hili linatupa hamsa kuwa takwimu zijazo tutakuwa katika nafasi nzuri zaidi.
 
Back
Top Bottom