Kenya Airways and the Dar-Nairobi route; passengers complain of very poor service

Air Tanzania ni yetu ila haiwezi shindana na KQ
I think kwa hii route ya DAR-NBO tunaweza. Via Kilimanjaro International.
Tatizo KQ hawajapata competition hivo wamezembea kwenye customer satisfaction. Naskia sio mara ya kwanza ndege kuchelewa au safari kuwa cancelled kabisa
 
Hii ruti nimeitumia na sijawahi kumbana na changamoto kama hizi, ila kiaina nitaelewa hasira za hao abiria maana hamna kitu huwa nachukia kama uahirishwaji wa safari kwa ghafla, lakini hata hivyo wanaosema Air Tanzania ndio jibu watakua wanajidanganya maana haya ni matukio ya kawaida kwa Air Tanzania, wanawatesa sana abiria wa Tanzania....

‘Bombardier’ yakwama Mwanza | Azam | Habari | Swahili


Baadhi ya abiria waliokwama kwenye safari hiyo katika uwanja wa ndege wa Mwanza
Hii leo zaidi ya abiria 60 kutoka Bukoba na Mwanza wamekwama kwenda Dar es Salaam baada ya ndege ya kampuni ya Air-Tanzania ‘Bombardier’ 5H-TCD kufeli na hivyo kuwalazimu abiria kusubiri zaidi.
Meneja wa Air-Tanzania katika uwanja wa Mwanza, Theonestina Archard, amesema kwa sasa kinachofanyika ni kuwapeleka abiria wote hotelini kwa ajili ya lunch huku wakisubiria wahandisi.
Ndege hiyo ilipaswa kupaa saa tatu asubuhi lakini kwa mujibu wa meneja huyo, huenda ikaondoka saa kumi na moja jioni
‘Bombardier’ yakwama Mwanza | Azam | Habari | Swahili
 
Mara zote nimesafiri na KQ sijawahi pata mashida na hao Jamaa, huenda ni incident ya siku moja au mbili, hata hivyo
Bado huwezi fananisha na ufala wa Precision..
Otherwise wajitahidi maana atcl tunasubiri tu Airbuss (C300) tushike hiyo njia na Nauli itakuwa ni Nusu ya KQ... via KIA na Z’bar
 
Kwa Mara ya kwanza umeongea bila bias.
 
Leo naona umeongea 🤔🤔 sense
 
which KQ are you talking about? maana sijawahi kuskia mambo kama haya before...KQ ikona very good ratings from all over the world not just NBO-DAR....pengine kuchelewa kwa siku moja au mbili tu which happens a lot in aviation...ila sijui kama umeshawahi kupanda ndege hata siku moja wewe maana this is a very normal occurrence in aviation...its not a big deal... abiria huwa wanacheleweshwa kote duniani aitha kwa masaa machache na hata wakati mwingine inawabidi walale kwenye airport...unajua ushamba ni mbaya sana😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…