Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
kwani lazima kuwa na national/flag carrier? maisha si lazima hiyo sisi tumejikita kwenye vitu vingine mkuu. Pia, nielewe nilichosema Kenya wamezidi kujitamba mbona wakina ETHIOPIAN, SOUTH AFRICA AIRWAYS, EGYPT AIR, AIR ALGERIE hawajitambi kama wao na wana ndege za maana na destinations nyingi zaidi yao? kwa taarifa yako tu KENYA AIRWAYS ni ya 6 kwenye African Best Airlines baada ya 1. SAA 2.Air Seychelles 3. Air Mauritius 4. Kulula (ya South Africa) 5. Ethiopian kisha Kenya Airways. Kwa hiyo usijitie unyonge ukiona KQ. Asante
a
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
Mtukwao hivi unaujua umiliki wa Kenya Airways upoje? kwa taarifa yako tu ROYAL DUTCH AIRLINE (KLM) wameweka mihela ya kutosha kwenye KQ na kiasi kilichobaki ndo serikali ya Kenya imeweka kiasi cha mboga. ETHIOPIAN AIRWAYS yenyewe ni 100% inamilikiwa na FEDERAL DEMOCRATIC REPUBLIC OF ETHIOPIA. Kwa hiyo usishobokee sana KQ. Kama ni African Airlines naikubali sana ETHIOPIAN 1. Inamilikiwa 100% na serikali (japo wameongezewa mkopohivi karibuni na AfDB), 2. Wanaenda Destinations nyingi duniani 3. Wana ndege nyingi za kisasa 4. Bei poa ukilinganisha na KQ 5. Luggage allowance kubwa zaidi kuliko KQ.
Lo! Huyo mama mwenye mzigo kichwani ni nani?![]()
![]()
![]()
KENYA AIRWAYS UJENZI WA SOKO LA AFRICA NA KIMATAIFA
Ghele hiyo. Nguo mpya lazima ivaliwe.hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
Ethiopian Airways wana agreement ya muda mrefu na kampuni ya Boeing tangu enzi za Emperor Haile Selasie. Kila toleo la ndege mpya za Boeing ET huwa wanazipata mapema kwa kuuziwa au kukopeshwa kwa concessenary prices na service agreement. Ndiyo sababu hata wakati wa enzi za Ukomunisti wa kina Mengitsu Haile Mariam ET halikutetereka. Lakini vile vile wamejenga uwezo mkubwa wa kimanejimenti kiasi kwamba hata wakati wa crisis kama baada ya September 11 Shirika liliweza kuhimili mdororo. Ni ushahidi kuwa ushauri tuliopewa na wazungu kuwa mashirika ya umma hayawezi kuwa na tija ni upuuzi mtupu. Inategemea. ATC wangefikiria kupeleka watu wao huko badala ya South Africa, Ulaya na Marekani.Sawa. Lakini kila kampuni inaanza pahala na kuwa na umiliki wa kampuni za nje kwa lengo la kuongeza mtaji na management skills (KQ+KLM) au kupata mikopo kama ET ni maswala tu ya kibiashara. Kwamba KQ wameweza kuwavutia KLM kuwekeza ni ushahidi kwamba KQ inaonesha matumaini. Kweli ET inamilikiwa 100% locally lakini wao wameanza zamani, huenda baadaye KQ nayo ikamilikiwa 100% na Wakenya. Je, sisi tunalenga huko? Au tunafurahia vikampuni vyetu vinapoanza kusuasua?
Mtukwao hivi unaujua umiliki wa Kenya Airways upoje? kwa taarifa yako tu ROYAL DUTCH AIRLINE (KLM) wameweka mihela ya kutosha kwenye KQ na kiasi kilichobaki ndo serikali ya Kenya imeweka kiasi cha mboga. ETHIOPIAN AIRWAYS yenyewe ni 100% inamilikiwa na FEDERAL DEMOCRATIC REPUBLIC OF ETHIOPIA. Kwa hiyo usishobokee sana KQ. Kama ni African Airlines naikubali sana ETHIOPIAN 1. Inamilikiwa 100% na serikali (japo wameongezewa mkopohivi karibuni na AfDB), 2. Wanaenda Destinations nyingi duniani 3. Wana ndege nyingi za kisasa 4. Bei poa ukilinganisha na KQ 5. Luggage allowance kubwa zaidi kuliko KQ.