Kenya Airways ikifanyia Testing Airbus ya ATCL ndio wainunue Rasmi.

Status
Not open for further replies.
Hizi taarifa zikitokea kuwa kweli nitawaona ovyo sana viongozi wa Kenya, haya madude Wabongo waliyanunua kwa mihemko wapambane na hali yao huko huko hatutaki uchafu.
 
Hahahahahaha, ni nchi pekee duniani ambayo watu wake wanakufa njaa wakati ardhi inazalisha maua na chai isiyoweza kutoa pesa ya kutosha ya kununulia chakula ndio inaweza kuwa na mawazo kwamba tunaweza kuuza ndege ambayo hata Miezi minne haijafikisha.
1)Hata kukodisha kwa mwaka mmoja ndege ya kisasa kama hiyo, KQ haiwezi, bei ni kubwa Sana.
2)Hata siku tutakapofikia uamuzi wa kuuza hizi ndege, hatuwezi kuwauzia KQ, bora kuwakopesha Mauritious au South Africa, hao ni ndugu zetu tunasaidiana kuliko ninyi Nyang'au.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa ninyi wote mnavuta bhange kama mtangulizi wenu.

Ndege ikitua tu uwanjani kwenu mmenunua. Ndio maana tukiwaruhusu wageni kupitia kwenu kuja Kilimanjaro mlimani mnadai mlima wenu

Ahaaa haaa haaa
Umenikumbusha kipindi tuko watoto tunawaiana kusema langu magari ya watu yanayopita barabarani.
Eti langu hili hili.
Yaani ndiyo jamaa ZETU walivyo. Walivyoiona tu Airbus yetu wakaanza kusema yangu hii yangu hii.
Ahaaa haaa haaa
 
Huwa ninyi wote mnavuta bhange kama mtangulizi wenu.

Ndege ikitua tu uwanjani kwenu mmenunua. Ndio maana tukiwaruhusu wageni kupitia kwenu kuja Kilimanjaro mlimani mnadai mlima wenu

Mbona zinatua ndege sana kila siku hazisemwi, na sio mara ya kwanza ndege yenu kutua kwetu, ila hii inayosemwa semwa itakua ina kitu. Mbaki nayo huko hatuitaki, kwetu sio dampo la kutupa kila kinachowashinda kwa mlivyo wavivu wa kutupwa, kila mnachogusa kinaangukia pua.
Hamuna mipango, mnawehuka tu...
 
Taarifa za ndani zinadai ATCL wanataka kuanzisha route ya JKIA to JNIA via KIA ss wqlikuwa ktk testing kwa marubani
 
Wapuz sana

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi taarifa zikitokea kuwa kweli nitawaona ovyo sana viongozi wa Kenya, haya madude Wabongo waliyanunua kwa mihemko wapambane na hali yao huko huko hatutaki uchafu.
We jamaa Unaandikaga Pumba Sana,
Unaelewa maana ya Mihemko ww ? Hiyo ndege Unaiita Uchafu wakati Uwezo wa Kuinunua Cash Km Sisi Huna,
Idiot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi taarifa zikitokea kuwa kweli nitawaona ovyo sana viongozi wa Kenya, haya madude Wabongo waliyanunua kwa mihemko wapambane na hali yao huko huko hatutaki uchafu.
Unaota wewe, yaani sisi tunaongeza ndege zaidi wewe unaota utauziwa ndege na Tanzania? Zile max hamna pesa za kununua mpo broke
 
We jamaa Unaandikaga Pumba Sana,
Unaelewa maana ya Mihemko ww ? Hiyo ndege Unaiita Uchafu wakati Uwezo wa Kuinunua Cash Km Sisi Huna,
Idiot

Sent using Jamii Forums mobile app

Mlifaa mtulie na kuandaa mikakati ya jinsi gani mtaendesha shughuli ya biashara ya ndege, sio kukurupuka bila kuelewa wapi pa kuanzia na wapi pa kutokea.
 
Mlifaa mtulie na kuandaa mikakati ya jinsi gani mtaendesha shughuli ya biashara ya ndege, sio kukurupuka bila kuelewa wapi pa kuanzia na wapi pa kutokea.

Walidhani biashara ya ndege ni kama kunywa supu ya Pweza. Ngoja idepreciate halafu waanze kupaka chaki
 
Jamaa wanawivu Sana, nchi yao kila siku ni scandals na matatizo yasiyokwisha, ufisadi ulioshindikana, DCI akijaribu kufanya kazi yake, Ukabila unaingia kwamba kabila letu linalengwa.

Kenya ni nchi ya laana, damu za watu zilizomwagika mwaka 2007 wakati wa PEV, Wakenya waliungana kuwatetea UHURUTO, waliwasahau maelfu ya watu waliokufa na malaki ya waliopoteza mali na makazi yao, hadi leo hakuna mtu hata mmoja aliyewajibishwa kutokana na unyama ule, eti wanajua kwamba UHURUTO hawakuhusika, lakini waliohusika hawawajui, nchi gani ambayo watu zaidi ya elfu moja wameuliwa lakini hakuna Hata mtu mmoja aliyekamatwa?. Failed state indeed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio hatari ya taifa kuruhusu mirungi,yaani handasi zikipanda tu ndege inafanyiwa majaribio kwenye route mpya wanasema wananunua.Mnauwezo wa kununua airbus nyie hivi mnajua ilo pipa lipo bongo tu Africa nzima?.Kapambaneni na mapangaboy yenu huko.Jirani mla mirungi sio timamu.
 
Hizi taarifa zikitokea kuwa kweli nitawaona ovyo sana viongozi wa Kenya, haya madude Wabongo waliyanunua kwa mihemko wapambane na hali yao huko huko hatutaki uchafu.
Mtaishia kunawa ilikuja Kenya ktk maonesho na si vinginevyo
 
yaani mi-bongolala inachekesha, hivi mbona hamna msimamo?? mara ndege imekodeshwa kwa maonyesho(masaa na pia jina la maonesho yamewaumbua) sasa tena ndege iko kwenye testing ya route(kama kweli mbona ndege katokea jkia na kurudi jkia - hadi sasa ndege ipo jkia) tafadhali tafuteni msomamo mmoja muwache mihemko.
 
Hizo ndo ndege zinazopiga sana kazi kwa ATC ...hazimilikiwi na ATC so ni goverment na Magu hawezi semq hizo ndege ziuzwe yeye mwenyewe alisema bora kuzikopesha kwa precision air kuliko kuuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…