wanashika mkia hku wana deni la $ 2 bln! halafu wanajitamba humu ndani!Kutokana na mtandao SKYTRAX unaotoa viwango vya mashirika ya ndege 100 duniani, inaonekana Kenya Airways imejikuta katika wakati ngumu mwaka 2017 kwa kuporomoka nafasi 6 chini kutoka 85 mpaka 91.
2014 84/100
2015 86/100
2016 85/100
2017 91/100
Huu ni mtandao huru na hauna ushirikiano wowote na mashirika ya ndege. Habari kamili zama kwenye kiunganishi hapa chini.
The World's Top 100 Airlines in 2017
dead airline walking!Nadhani ni zaidi ya miaka 10 sasa wako mkiani.
nanyi muko wapi?Nadhani ni zaidi ya miaka 10 sasa wako mkiani.
i mean Top 100 best globallyFastjet imetubeba in Africa.
Kama kawaida regional competition ndio zenu, one day u will graduate to the global scene. Keep on dreaming.Fastjet wamekwapua na wao kwa Afrika
View attachment 796584
The World's Best Low-Cost Airlines | 2017
Fastjet wamekwapua na wao kwa Afrika
View attachment 796584
The World's Best Low-Cost Airlines | 2017
Haha, you mean the way your struggling to keep your head above the global waters.
One thigh you tried so hard to hide from your comment is that, KQ has dropped 6 places in space of 12 month.There over 5000 airlines with ICAO codes. Na zingine mingi ndogo hazina.
For KQ to be in the top 100 means it's among the 2%. Or if you like, it is in the 98th percentile.
You should be ashamed of even starting this thread. Bongolala