Wanaboa kivipi? Fafanua.poleni Sana ndugu zetu wakenya Ingawa saa nyingine munaboa
usikonde nilikua nachangamsha msiba tuWanaboa kivipi? Fafanua.
Nimeona umetoa rambirambi zako shingo upande. Hakuna mja yeyote huchagua mauti.Kifo hakibishi hodi kikija
Wewe utakuwa wa chademaHiyo wamesema haiendi tena [emoji23][emoji23]
Ni wale wapendwa wetu wanaotuleteaga rambirambi Kila leo sasa na sisi tuoneshe upendo ule ule ! Tupeleke tulichonacho.nchi gani hiyo jamani poleni sana
Roho ni roho tuu, wakiwa Mia mbili, wakiwa arobaini wakiwa watano tunahesabu watu wamefariki. Maumivu Ni yaleyale. Wanastahili pole nyingi toka kwetu.KWA HILI TUNAUNGANA MAANA KUPOTEZA ROHO ZA WATU SIO JAMBO LA KUSHABIKIA HATA KAMA UNAAKILI ANGALAU KAMA MBEGU YA MCHICHA
halafu juzi tu jamani ngoja tuone na sisi upendo wetu ulivyoNi wale wapendwa wetu wanaotuleteaga rambirambi Kila leo sasa na sisi tuoneshe upendo ule ule ! Tupeleke tulichonacho.
Nimepiga kabisa haipokelewi.Haya nibeep kwenye voda yangu nifanye muamala...
Hata hivyo nmekumiss[emoji8][emoji8]Nimepiga kabisa haipokelewi.
Nimekumic piaHata hivyo nmekumiss[emoji8][emoji8]