Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mgonjwa wa COVID-19 aliyedhaniwa kafa aliviringwa kwenye PPE na taratibu zote za mazishi zikafanyika.
Ni wakati mwili uko kwenye jeneza tayari kwa maziko, wafiwa wakagundua jeneza linatetema.
Shughuli ya mazishi ikaahirishwa jeneza likafunguliwa na kukutwa marehemu bado anapumua.
Tazama video:
Jr[emoji769]
Ni wakati mwili uko kwenye jeneza tayari kwa maziko, wafiwa wakagundua jeneza linatetema.
Shughuli ya mazishi ikaahirishwa jeneza likafunguliwa na kukutwa marehemu bado anapumua.
Tazama video:
Jr[emoji769]