Kenya: Alshabab yaua POLISI 7 wa Kenya, mmoja hajulikani alipo

joto la jiwe huumia Sana akisikia na kuona picha za Lamu Port Tena kwa Sasa vile Bagamoyo Port imekuwa cancelled...kijana anasikia kuinyo ga Kenya, anaomba Al shababe wafanye kweli pale Lamu ndoto lake litimie.
Hiyo ya Lamu port huwa inamumaliza sana by the way, i noticed that.
 
Ninasubiri evidence, au kiri kwamba Alshabab walishambulia na kurudi Somalia.
Kwa hivyo hujaona hii niliyokuwekea hapo juu? Wacha niweke tena, sitachoka.


Garissa dead terrorists paraded for locals to identify
April 4, 2015 4:06 pm
  • 0SHARES
  • 0
  • 0
  • 0
By AGENCE FRANCE PRESSE,
Some threw stones at the bodies as they passed, others jeered and shouted at the dead. Photo/CFM.NAIROBI, Kenya Apr 4 – Kenyan police on Saturday paraded the four bloated and naked bodies of what they said were the gunmen in a university massacre of almost 150 people, saying the grim display was held to see if anyone could identify the assailants.

Hundreds, including children, took to the streets to see the corpses, which were piled on top of each other face down in the back of a pick up truck, that drove down the main street in the northeastern town of Garissa.

ADVERTISEMENT

Some threw stones at the bodies as they passed, others jeered and shouted at the dead.
The pickup drove for almost half a kilometre (0.3 mile) from the hospital before stopping near a children’s playground, chased by young men. Hundreds more came to join the crowd despite the foul stench from the charred bodies, now swollen two days after they were killed.
“The intention was not a parade, but rather for public identification so that if anyone can recognise them whether they are a relative or someone who knows them,” local police chief Benjamin Ong’ombe said, adding the bodies were then returned to the hospital for storage.
“Too many people turned out, so we had to return them,” he added.
As well as the four gunmen killed, five men have also been arrested in connection with the university massacre by Somalia’s Al-Qaeda-linked Al Shabaab militants.
Thursday’s attack on Garissa University, situated near the border with Somalia, claimed 148 lives, including 142 students, three police officers and three soldiers.
Many in the crowds took photographs with their phones of the bodies, but many said they were disgusted at the parade.
“Bringing the bodies of the deceased, whether terrorist or others, and then running them naked in the streets, will only incite terrorists to act with more hatred in another attack,” said Abdi Hussein, a local elder. “It is against humanity to parade naked bodies.”
The massacre was Kenya’s deadliest attack since the 1998 bombing of the US embassy in Nairobi, and the bloodiest ever assault by the Al Shabaab militants.
“Driving around on the streets in broad daylight in a country which upholds human dignity is embarrassing,” said Ahmed Yusuf, a student at another local college.
“Instead of driving bodies around the streets now, the security forces should had pro-actively gone out to stop them from killing students,” he added.
Sh20 million bounty has been offered for alleged Al Shabaab commander Mohamed Mohamud, a former Kenyan teacher believed to now be in Somalia and said to be the mastermind behind the Garissa attack.
 
Tony254, I am sure you are better than this. This can only be done by people with low IQ like those whom I try to avoid them, this killing took place some weeks later after the attacks as the result of operations as it was directed by Uhuru Kenyatta, but after the attack, they managed to escape, after all these are suspected to be part of that attack, nor one is sure because they were not killed during the attack at Garisa university, and they are all dead, they were not interrogated to confess.
 
Wewe ni mjinga wa mwisho and that's why you always result to insults .only fools do that
Ati waliuliwa a week later ?.hahahahaa
Garrisa attack happened on 2nd April and the whole operation lasted for more than 15 hrs Bodies of slain terrorist were displayed to the public at around midday 3rd April and the story was published on 4th April.
 
Ati no one is sure ?.....hahaaa mjinga wa mwisho . You are seriously a mental case.

One of the sniper who kept overwatch as the other three killed the students is identified as Abdirahim Mohamed Abdullahi the son of a Chief in Mandera.
 
Ushabiki wa kijinga ni wewe ..hahaa
ati unaniambia nidhibitishe Kwamba hapo ni Kenya.
You can clearly see a Kenya police vehicle

 

Ila najua you have a peanut size brain. na kinacho kukanganya ni kuwa hujui grassroot cell nini .
We had to go not only for the gunmen but also the financiers and and all those who aided in planning and logistics of the attack
Nenda ukalie chooni😂😂
 
its caught.....ai watanzania jameni
 
Poleni sana majirani zetu.

Ila pia pongezi kwa kuwa na bajeti kubwa ya ulinzi.

Lakini la msingi ni.... ukubwa wa bajeti ya ulinzi iendane sambamba na kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wa kenya walioko nchi nzima na si nairobi tu.
 
 
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Wakati Taifa likiwa katika simanzi na taharuki baada ya askari wanane kupoteza maisha katika shambulizi lisilo la kawaida dhidi ya Jeshi la Polisi, mashuhuda wa tukio hilo wanasema wauaji walijipanga katika maeneo matatu tofauti katika eneo la tukio kabla ya kufanya shambulizi hilo.
Habari za shambulio hilo la aina yake lililotokea juzi ziliripotiwa na gazeti hili pekee jana na hali ya simanzi ilitawala jana wakati Jeshi la Polisi likitoa taarifa kuhusu tukio hilo, huku Rais John Magufuli akiongoza waombolezaji.
“Baada ya kusikia hili tukio nilikaa kama dakika kumi natafakari bila kupata majibu. Hivi haya matukio yanafanywa na kina nani? Wanafanya kwa malengo gani?” alihoji Othman Juma, aliyekuwa anafuatilia mkutano huo wa Jeshi la Polisi katika ukurasa wa Mwananchi.
Wauaji hao walimshambulia kwa risasi tano dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser (pickup) na wakati askari walipokuwa wanajariku kuruka kujinusuru, watu hao waliwatungua kwa risasi wakati gari likienda kunasa pembeni ya barabara.
Watu hao walilifuata gari hilo liliposimama na kuwavua fulana za kuzuia risasi kisha kuwamalizia tena kwa risasi kabla ya kuchukua silaha saba walizokuta, tatu zikiwa za masafa marefu.
Waandishi wetu waliofika eneo la tukio wamesema hofu imezidi kutanda kwenye vijiji vya Wilaya ya Kibiti, na hasa Kijiji cha Jaribu ambako viongozi wao hawaonekani na wakazi hupotea inapofika nyakati za usiku kuhofia maisha yao.
 
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Wakati Taifa likiwa katika simanzi na taharuki baada ya askari wanane kupoteza maisha katika shambulizi lisilo la kawaida dhidi ya Jeshi la Polisi, mashuhuda wa tukio hilo wanasema wauaji walijipanga katika maeneo matatu tofauti katika eneo la tukio kabla ya kufanya shambulizi hilo.
Habari za shambulio hilo la aina yake lililotokea juzi ziliripotiwa na gazeti hili pekee jana na hali ya simanzi ilitawala jana wakati Jeshi la Polisi likitoa taarifa kuhusu tukio hilo, huku Rais John Magufuli akiongoza waombolezaji.
“Baada ya kusikia hili tukio nilikaa kama dakika kumi natafakari bila kupata majibu. Hivi haya matukio yanafanywa na kina nani? Wanafanya kwa malengo gani?” alihoji Othman Juma, aliyekuwa anafuatilia mkutano huo wa Jeshi la Polisi katika ukurasa wa Mwananchi.
Wauaji hao walimshambulia kwa risasi tano dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser (pickup) na wakati askari walipokuwa wanajariku kuruka kujinusuru, watu hao waliwatungua kwa risasi wakati gari likienda kunasa pembeni ya barabara.
Watu hao walilifuata gari hilo liliposimama na kuwavua fulana za kuzuia risasi kisha kuwamalizia tena kwa risasi kabla ya kuchukua silaha saba walizokuta, tatu zikiwa za masafa marefu.
Waandishi wetu waliofika eneo la tukio wamesema hofu imezidi kutanda kwenye vijiji vya Wilaya ya Kibiti, na hasa Kijiji cha Jaribu ambako viongozi wao hawaonekani na wakazi hupotea inapofika nyakati za usiku kuhofia maisha yao.
 
Ushabiki wa kijinga ni wewe ..hahaa
ati unaniambia nidhibitishe Kwamba hapo ni Kenya.
You can clearly see a Kenya police vehicle

View attachment 1129906
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Wakati Taifa likiwa katika simanzi na taharuki baada ya askari wanane kupoteza maisha katika shambulizi lisilo la kawaida dhidi ya Jeshi la Polisi, mashuhuda wa tukio hilo wanasema wauaji walijipanga katika maeneo matatu tofauti katika eneo la tukio kabla ya kufanya shambulizi hilo.
Habari za shambulio hilo la aina yake lililotokea juzi ziliripotiwa na gazeti hili pekee jana na hali ya simanzi ilitawala jana wakati Jeshi la Polisi likitoa taarifa kuhusu tukio hilo, huku Rais John Magufuli akiongoza waombolezaji.
“Baada ya kusikia hili tukio nilikaa kama dakika kumi natafakari bila kupata majibu. Hivi haya matukio yanafanywa na kina nani? Wanafanya kwa malengo gani?” alihoji Othman Juma, aliyekuwa anafuatilia mkutano huo wa Jeshi la Polisi katika ukurasa wa Mwananchi.
Wauaji hao walimshambulia kwa risasi tano dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser (pickup) na wakati askari walipokuwa wanajariku kuruka kujinusuru, watu hao waliwatungua kwa risasi wakati gari likienda kunasa pembeni ya barabara.
Watu hao walilifuata gari hilo liliposimama na kuwavua fulana za kuzuia risasi kisha kuwamalizia tena kwa risasi kabla ya kuchukua silaha saba walizokuta, tatu zikiwa za masafa marefu.
Waandishi wetu waliofika eneo la tukio wamesema hofu imezidi kutanda kwenye vijiji vya Wilaya ya Kibiti, na hasa Kijiji cha Jaribu ambako viongozi wao hawaonekani na wakazi hupotea inapofika nyakati za usiku kuhofia maisha yao.
 
its caught.....ai watanzania jameni
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Wakati Taifa likiwa katika simanzi na taharuki baada ya askari wanane kupoteza maisha katika shambulizi lisilo la kawaida dhidi ya Jeshi la Polisi, mashuhuda wa tukio hilo wanasema wauaji walijipanga katika maeneo matatu tofauti katika eneo la tukio kabla ya kufanya shambulizi hilo.
Habari za shambulio hilo la aina yake lililotokea juzi ziliripotiwa na gazeti hili pekee jana na hali ya simanzi ilitawala jana wakati Jeshi la Polisi likitoa taarifa kuhusu tukio hilo, huku Rais John Magufuli akiongoza waombolezaji.
“Baada ya kusikia hili tukio nilikaa kama dakika kumi natafakari bila kupata majibu. Hivi haya matukio yanafanywa na kina nani? Wanafanya kwa malengo gani?” alihoji Othman Juma, aliyekuwa anafuatilia mkutano huo wa Jeshi la Polisi katika ukurasa wa Mwananchi.
Wauaji hao walimshambulia kwa risasi tano dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser (pickup) na wakati askari walipokuwa wanajariku kuruka kujinusuru, watu hao waliwatungua kwa risasi wakati gari likienda kunasa pembeni ya barabara.
Watu hao walilifuata gari hilo liliposimama na kuwavua fulana za kuzuia risasi kisha kuwamalizia tena kwa risasi kabla ya kuchukua silaha saba walizokuta, tatu zikiwa za masafa marefu.
Waandishi wetu waliofika eneo la tukio wamesema hofu imezidi kutanda kwenye vijiji vya Wilaya ya Kibiti, na hasa Kijiji cha Jaribu ambako viongozi wao hawaonekani na wakazi hupotea inapofika nyakati za usiku kuhofia maisha yao.
 
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Dar es Salaam. Wakati Taifa likiwa katika simanzi na taharuki baada ya askari wanane kupoteza maisha katika shambulizi lisilo la kawaida dhidi ya Jeshi la Polisi, mashuhuda wa tukio hilo wanasema wauaji walijipanga katika maeneo matatu tofauti katika eneo la tukio kabla ya kufanya shambulizi hilo.
Habari za shambulio hilo la aina yake lililotokea juzi ziliripotiwa na gazeti hili pekee jana na hali ya simanzi ilitawala jana wakati Jeshi la Polisi likitoa taarifa kuhusu tukio hilo, huku Rais John Magufuli akiongoza waombolezaji.
“Baada ya kusikia hili tukio nilikaa kama dakika kumi natafakari bila kupata majibu. Hivi haya matukio yanafanywa na kina nani? Wanafanya kwa malengo gani?” alihoji Othman Juma, aliyekuwa anafuatilia mkutano huo wa Jeshi la Polisi katika ukurasa wa Mwananchi.
Wauaji hao walimshambulia kwa risasi tano dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser (pickup) na wakati askari walipokuwa wanajariku kuruka kujinusuru, watu hao waliwatungua kwa risasi wakati gari likienda kunasa pembeni ya barabara.
Watu hao walilifuata gari hilo liliposimama na kuwavua fulana za kuzuia risasi kisha kuwamalizia tena kwa risasi kabla ya kuchukua silaha saba walizokuta, tatu zikiwa za masafa marefu.
Waandishi wetu waliofika eneo la tukio wamesema hofu imezidi kutanda kwenye vijiji vya Wilaya ya Kibiti, na hasa Kijiji cha Jaribu ambako viongozi wao hawaonekani na wakazi hupotea inapofika nyakati za usiku kuhofia maisha yao.
 
Wakenya waliuwawa kwenye hii Vita wanafika 700, wameua shabab hawazidi 10
insi mauaji ya kutisha ya polisi nane yalivyofanyika
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
 
Na hiyo ndio point wangelinda mpaka wao sio kwenda kuleta shobo kule wakati uwezo mdogo.. Haya majamaa yanaishi kwa denial duu
insi mauaji ya kutisha ya polisi nane yalivyofanyika
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
 
insi mauaji ya kutisha ya polisi nane yalivyofanyika
Gari walilokuwa wamepanda polisi kabla ya kushambuliwa na watu wasiofahamika juzi likiwa katika Kituo cha Polisi Bungu jana. Picha na Said Khamis
By Waandishi Wetu, Mwananchi; mwananchipapers@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
MATUKIO

Mei, 2016: Miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la Mei mwaka jana ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyambunda, Saidi Mbwana aliuawa kwa kupigwa risasi.

Oktoba 2016: Kadhalika, Oktoba mwaka jana aliyekuwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho Ally Milandu aliuawa baada ya kuvamiwa na watu wanne, waliompiga risasi mbili.

Novemba, 2016: Novemba mwaka jana, wenyeviti wawili wa vitongoji wa kijiji hicho waliuawa kwa kupigwa risasi.

Januari 2017: Januari mwaka huu, katika kijiji cha Nyambunda, kitongoji cha Mkwandara, watu wasiofahamika walimuua mfanyabiashara, Oswald Mrope kwa kumpiga risasi mbele ya familia yake.

Februari 2017: Tukio jingine ni lile la Februari 3, mwaka huu ambapo majambazi walivamia nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Jaribu, Bakari Msanga, ambaye alifanikiwa kuwatoroka.
Hata hivyo majambazi hayo yalipomkosa, yalirejea na kumwaga mafuta, kisha kuichoma moto nyumba yake.

Februari 24: Februari 24 mwaka huu, majambazi hayo yalimuua ofisa upelelezi, wilaya hiyo, Peter Kubezya na maofisa maliasili wawili.

Machi 2017: Machi mwaka huu, polisi iliwaua kwa kuwapiga risasi watu watatu waliovalia kike wakati walipojaribu kukwepa vizuizi vitatu vya barabarani wakiwa na pikipiki mbili. Waliuawa katika daraja la Mkapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…