Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
Wengi wa mashujaa wa World War 2, kutoka Kenya, ambao walipigana kwa faida ya mkoloni bila hiari yao kule Burma(Myanmar) na sehemu zingine duniani. Ndio walirudi na ujuzi wao wa kivita ambao waliutumia kwenye vita dhidi ya mkoloni huyo huyo, vita vya Mau Mau vilipoanza. Yaani kwa ufupi bila ya wao kutumiwa na mkoloni kwenye vita vya WWII, Mau Mau wasingeweza kujipanga vizuri kivita. Silaha ambazo Mau Mau walikuwa wanazitumia zilikuwa zinatengenezwa na hao hao 'veterans' wa WWII ndani ya rank za Mau Mau. Mashujaa na viongozi wa Mau Mau, kama General Mathenge na General China(Waruhiu Itote) na wengine wengi, walipata ujuzi wa kivita kule Burma wakipigana kwenye vita vya WWII.Inatia uchungu kujua kuwa walipoteza uhai wao kwa faida ya wengine.
Hawa tunaweza kuwaita ni mashujaa, lkn si mashujaa kwa Taifa lao. Bali walitumika kwa faida ya mabeberu. Ni tofauti kabisa na mashujaa wa vita vya Maji Maji au Mau Mau.
Wengi wa mashujaa wa World War 2, kutoka Kenya, ambao walipigana kwa faida ya mkoloni bila hiari yao kule Burma(Myanmar) na sehemu zingine duniani. Ndio walirudi na ujuzi wao wa kivita ambao waliutumia kwenye vita dhidi ya mkoloni huyo huyo, vita vya Mau Mau dhidi ya mkoloni vilipoanza. Yaani kwa ufupi bila ya wao kutumiwa na mkoloni kwenye vita vya WWII, Mau Mau wasingeweza kujipanga vizuri kivita. Silaha ambazo Mau Mau walikuwa wanazitumia zilikuwa zinatengenezwa na hao hao 'veterans' wa WWII ndani ya rank za Mau Mau. Mashujaa wa Mau Mau kama General Mathenge na General China(Waruhiu Itote) na wengine wengi walipata ujuzi wa kivita kule Burma wakipigana kwenye vita vya WWII.
As Kenyans we celebrate freedom fighters in a national day called "Mashujaa day" have you never known that? Also celebrating our great grandmothers and grandfathers who fought in world war 2 and came back to start KDF does not in any way take away from the freedom fighters.A Shere nonsense, What about remember those black Kenyans who died fighting for kenya freedom and protecting their people from british tyrannical colonialism? ??!!., for them Hitler is a tyranny and they forget about their tyranny to the black kenyans.
What an idiotic comment. As Kenyans we celebrate freedom fighters in a national day called "Mashujaa day" have you never known that? Also celebrating our great grandmothers and grandfathers who fought in world war 2 and came back to start KDF does not in any way take away from the freedom fighters.
Why not then call, during mashujaa day, the british to celebrate or rather to mourn together with you???, You have to keep it in mind that your forefathers died in the world war fighting for the british dominance and not for black dominance, that is, your forefathers died protecting whitemen dominance over whitemen dominance, in other words they were protecting their colonialism over you by using you, your fathers saved as a tool like an axe handle fixed in an axe which in turn is used to cut its kith and kins.
Do you remember what the british colonists did to kenyans freedom fighters??? , why don't they (the british) remember and apologize for the brutality and cruelity they did to your fellow kenyans freedom fighters??? instead they remember those who died protecting their wicked dominance, that is a shere segregation viz whiteman is better than blackman.
That was my point.
Read wide my friend ,stop commenting on shit you have no idea about.
Compensation was already awarded by a London court to those freedom fighters and victims brutalized, instead pay attention to your kinjeketile who stole elections and has started brutalizing your asses down there in the land of witches and wizards of OZ.
First, correct your sentences then come back and argue with me.Problem is genetical.---- the colonizers genes pased on to their today's grand offsprings vis a vis those who were colonised passed on their genes to thrir today's grand offspring. You are one of the today's colonised grand offsprings.
Our forefathers were enslaved, colonised and humiliated in many ways by the then Europeans Explorers, missionaries and consequently colonizers, occasionally when reading our history, we happen to condem and critisize our forefathers for their dis-organisation and disunity to fight against the colonists for safeguarding their dignities etc, hower, this time around in modern times there come a new generation who think that a compensation of any sort is equal to a lost human life.
It is unfair and unrightful thing to condem and criticise our forefathers dis organisation and disunity because even today we are mentally blinded by the grandsons and daughters of the same colonizers.
Very stupor and pathetic, that the Money paid as compensation would be equal to hundreds of Kenyans who died in the freedom struggle, the money is token to shut mouth of some blind like you.
Never ever would any amount of money etc, be equal to a human life.
Keep calm for the "medicine" to get deeper into your ailing stereotype.First, correct your sentences then come back and argue with me.
Besides, your grammar is pathetic.