Kenya and United Kingdom resume joint military training

KDF nalo jeshi. Vijana wamelegea kama wanakula urojo.
 
Mazoezi tuliyo yafanya majuzi tz niya kuja Kenya kuwakomboa kama kutatokea machafuko uchaguzi mkuu mkivurugana tunakuja kuwa chapa mtulie
 
Mazoezi tuliyo yafanya majuzi tz niya kuja Kenya kuwakomboa kama kutatokea machafuko uchaguzi mkuu mkivurugana tunakuja kuwa chapa mtulie

Nyie hivi karibuni mna vita vya Zanzibar kujitenga kama vile Sudani na Sudani Kuisni.....habari ishapelekwa Umoja wa Mataifa!
Baadae ni vita vya kidini, funga mdomo unatoa uvundo!
Wavunja matofali kwa vichwa wenyu waliwalawiti watoto kule Kongo.
Wengine wanaiba mbao mitaani huko Danganyika
Wengine sijui wanawapiga wananchi mitaani, hamna hata adabu!
Lini ulisikia Kenya wanajeshi wakiwapiga wananchi?...hata wakati wa machafuko hayakutokea hayo!
 
Hata sisi tunataka zanziba ijitenge atuna aja na muungano usio heshimu democracy
 
Kwikwikwi unachekesha sana dogo.
Yaani hako kajeshi kenu kanako shikishwa adabu vimgambo vyenye ndala miguuni vya somalia ndio unasema nalo jeshi!!!?

Nchi yetu ni UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.

Mnatamani sana mngekuwa kama sisi. Lakini bahati mbaya mmejenga ukabila ndani ya nchi yenu. Sisi tunaishi kama ndugu hapa TZ.

Ukienda Zanzibar utakuta wanyamwezi, Wamakonde nk wapo huko na wanaishi vizuri sana. Vilevile ukienda kigoma utakutana na wapemba wengi tu wanaishi huko.

Tanzania is a Nation. Usikirie kama huko kwenu mnatengana kikabila na ki hali.
Hapa TZ sisi ni kitu kimoja.
Ngao za tanzania ni: Hekima, Umoja na Amani.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Hata sisi tunataka zanziba ijitenge atuna aja na muungano usio heshimu democracy
the problem is mainland tz doesn't know anything about democracy hence you dont have it at all...tusingesikia vituko vya kufungiwa kwa media houses zenu kisa na maana wameponda raisi au kukandamiza opposition
 

WAVUNJAJI MATOFALI KWA VICHWA!
 
the problem is mainland tz doesn't know anything about democracy hence you dont have it at all...tusingesikia vituko vya kufungiwa kwa media houses zenu kisa na maana wameponda raisi au kukandamiza opposition
Ndiyo tatizo main land hivyo ukivunjika upinzani Zanzibar unachukua nchi tunajiunga tena
 
mwambie magu aitishe friendly tuone.....wadhani kdf wapigana na rebels kama m23 na kulipua fukwe za bahari.kila mtu anajua tpdf haiingii kwa kdf isipokuwa watz peke yake ndio hubisha
Mtu mwenye akili timamu huwa hashabikii vita, mtu mwenye akili timamu hawezi kubet vita kati ya mrusi na mmarekani au Tanzania na Kenya. Fanyeni kazi acheni upumbavu, vita sio lele mama. Once vita inaanza kati ya Tanzania na Kenya kwa taarifa yenu ni kuwa miji ya mpakanani yote kwa Tanzania Tanga, Arusha, Musoma nk hali kadhalika kwa upande wa Kenya miji kama Nairobi, Mombasa haitakalika. Msiombe vita, isikieni tu kwa wenzenu, hakuna mtu alitarajia kuwa Tanzania tungeishinda Uganda kwenye vita licha ya silaha kali alizo kuwa nazo idi amini pamoja na kupewa msaada wa kijreshi na libya. Unaweza ukatumia gharama kubwa kununua wachezaji na kuiandaa timu yako na bado usipate ushindi. Man united, Arsenal , chelsea na Man city ndivyo walivyofanya mwaka jana lakini ushindi ulikwenda Leicester city. MTU MWENYE AKILI TIMAMU HUWA HASHABIKII VITA, NA PIA HUWEZI KUBET KWENYE VITA.
 

Tutauchukua mlima ambao ni wetu kwanza, pamoja na sehemu zote za kasakazini mwa nchi hiyo dhaifu!
 
good..but nairobi haipo mpakani...
 
good..but nairobi haipo mpakani...
Mimi nipo Arusha, kuna mlima hapa Arusha una kituo cha jeshi, ambapo usiku taa zinazowaka nairobi tunaziona, nili base kwenye hiyo sorry for my poor geography
 
Mimi nipo Arusha, kuna mlima hapa Arusha una kituo cha jeshi, ambapo usiku taa zinazowaka nairobi tunaziona, nili base kwenye hiyo sorry for my poor geography

Arusha ni mji wa Kenya, pamoja na wamaasai wetu!...weye myamwezi wa kusini mwa Afrika ulifikaje hapo?
 
Mimi nipo Arusha, kuna mlima hapa Arusha una kituo cha jeshi, ambapo usiku taa zinazowaka nairobi tunaziona, nili base kwenye hiyo sorry for my poor geography
its fine,we dont want to go to war either cz tushaona madhara ya war with al shabaab.wengine tumepoteza relatives kwa hawa magaidi.kitu sielewi na watz wenzako kutokezea kwa thread kama hii yenye haiwahusu waanze kuponda,,,eti ooh mazoezi ya bure na al shabaab wanawauwa.Get this ryt,hao al shabaab wacha watuue wakenya pamoja na kdf wetu wote if thats what it takes but this is not tz business.you should keep off
 
Unachosema ni sahihi ndugu yangu, ila tu ujue kuwa watu wanaovuta bangi ni wengi sana siku hizi, na stress zao wanakuja kuzimalizia hapa JF, hapa JF huwezi kuleta hoja ikapita bila kupingwa, hata iwe nzuri kiasi gani, kwa mfano anzisha uzi wenye kichwa cha habari '' Nauza gari" majibu utakayo pata hutaamini. Nakushauri usipasue kichwa na comments za JF na wala hazitoki kwa watanzania, bali ni kwa kikundi kidogo cha wahuni ambao huko kwenu munawaita chokoraa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…