Kenya: Aota matiti baada ya kutembea na mke wa mtu

GOLDGREEN9

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
351
Reaction score
221
James mkazi wa Kenya ameota matiti baada ya kutembea na mke wa jirani yake.Mke wa mtu sumu!!!
Source: KBC!
 
James mkazi wa Kenya ameota matiti baada ya kutembea na mke wa jirani yake.Mke wa mtu sumu!!!
Source: KBC!
Jamaa alionywa sana na mume wa huyo mama ila jamaa aliziba masikio.
 
James mkazi wa Kenya ameota matiti baada ya kutembea na mke wa jirani yake.Mke wa mtu sumu!!!
Source: KBC!
Huyo mwenye mke ana huruma sana! Mimi akigusa tu kwenye lango ndio mwisho wa uume wake. Haitasimama hadi aingie kaburini!
 
Hayo matiti yako wapi?
 
Huyo witch doctor aliyefanya mambo si angekuja TZ. Nahisi angepata soko sana. Na adhabu ingeongezeka kidogo, badala ya manyonyo pekee wangemuongezea na makalio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…