Kwanini ni wakenya tu wanaokufa? Mbona hatujasikia vifo toka nchi zingine? Kiburi chenu ndio kuangamia kwenu.When you grow out of your shithole you will realize that Kenya did not go to Somalia as anyone's proxy and it is not the only country in Somalia. But then again what do i know about Bongo propaganda?
You just had to start a whole thread basing on misinformation without any idea what you are talking about.I think the US will not be your good allies under Trump and after Obama,, isn't it? What is your plan now about the Alishabab fight? Tafuteni njia ingine ya kulinda amani ya nchi yenu, chagueni mazungumzo (negotiation) na Alishabab badala ya vita. Vita itasababisha mfilisike kabisa kwasababu vita ya Alishabab ni vita ya kudumu sawa na ilivyo kwa vita ya Wapalestina au Taliban dhidi ya Zions. Huu ni ushauri wa bure kabisa kwenu.
Kuna nchi ngapi zina majeshi somalia?Kwanini ni wakenya tu wanaokufa? Mbona hatujasikia vifo toka nchi zingine? Kiburi chenu ndio kuangamia kwenu.
Ni nchi mbili. Nchi ya Somalia na nchi ya Kenya.Kuna nchi ngapi zina majeshi somalia?
Bro Nyang'au Hakuna anahitaji kusaidika, dude raised concerns after realising only your poor KDF are the victims of the mujahedin,You just had to start a whole thread basing on misinformation without any idea what you are talking about.
And who told the US is funding the war, its mostly EU. Halafu nani alikuambia its Kenya vs alshabaab?
And you should know....ama wacha tu, from what youve written we huwezi saidika.
ok, I understand. A case of two brainless creatures blindly picking sides and supporting each with no logic attatched.Bro Nyang'au Hakuna anahitaji kusaidika, dude raised concerns after realising only your poor KDF are the victims of the mujahedin,
Kwanini ni wakenya tu wanaokufa? Mbona hatujasikia vifo toka nchi zingine? Kiburi chenu ndio kuangamia kwenu.
ok, I understand. A case of two brainless creatures blindly picking sides and supporting each with no logic attatched.
NEVER UNDERESTIMATE THE POWER OF FOOLS COMBINED.
Hapa tunaongelea Kenya. Hapa ni vita kati ya Kenya na Somalia. Wakenya wengi zaidi wanakufa kuliko wa somali.Kule kwingine(Ethiopia) hakuna Uhuru wa vyombo vya habari, ulitegemea habari ipatikane vipi?
Halafu mbona kila siku mabomu yanalipuka kule Mogadishu na Puntland sijui Somailand tu!.
Jana Turkey,Nigeria,sijui wapi na wapi!
Hapa tunaongelea Kenya. Hapa ni vita kati ya Kenya na Somalia. Wakenya wengi zaidi wanakufa kuliko wa somali.
sijawaijua kuna vita kati ya kenya na somaliHapa tunaongelea Kenya. Hapa ni vita kati ya Kenya na Somalia. Wakenya wengi zaidi wanakufa kuliko wa somali.
hula na wakwao.Mchuma janga ....
Kwani Al Shabbab sio wasomali? Aliyeenda kuvamia nchi ya mwenzake ni nani? Wasomali au Wakenya?sijawaijua kuna vita kati ya kenya na somali
Wewe mwenye facts na statistics zilete hapa tuone. Kati ya wasomali na wakenya nani wanakufa zaidi kwenye hii vita.Bado unaleta kauli za ajabu ajabu zisizo na ukweli wala facts!
Nothing to support your assertions in red........GOODBYE!