Kenya Bado Yaandamwa na Janga la Baa la Njaa

eliakeem

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
17,214
Reaction score
15,853
Huku ikiwa bado haijapona makovu ya baa la njaa lililotokea kule maeneo ya Turkana, janga jingine ambalo ni la aina yake tayari limeikaba Kenya katika maeneo ya Wajir. Inaelezwa ya kuwa ukame umewahi sana mwaka huu. Mvua ambazo zilitegemewa ziendelee mpaka mwezi wa sita, zilikatika mwezi wa tatu.
Poleni majirani kwa maadhira hayo. Tutasimama pamoja kuhakikisha nalo hili linapita.

 
Karne hii Mtu ankufa na njaa nchi Haina vita!!
Afu Vilaza wanaimba Nchi Yenye uchumi mkubwa!!
Karne hii watoto wanakula kinyesi,wakaazi was Dodoma kula viwavi, mwanamke kupika mtoto kule geita na watu wanajigamba jinsi wanavyolisha afrika nzima.
Karne hii na watu bado wanasumbuliwa na utapia mlo....
 
Karne hii watoto wanakula kinyesi,wakaazi was Dodoma kula viwavi, mwanamke kupika mtoto kule geita na watu wanajigamba jinsi wanavyolisha afrika nzima.
Karne hii na watu bado wanasumbuliwa na utapia mlo....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapo ulipo unameza P2 kila wiki .... lazima uwe chizi


Wacha tufyatue huku chakula telee
 
Kusumbuliwa na utapia mlo ni kawaida.
Malnutrition is either excess of or lack of proper nutrition.
Ukija kwa wala kinyesi wamejitakia ilhali misaada wanaweza kupata.
Mwanamke kupika mtoto alishapimwa kuwa ana ugonjwa wa akili.
Dodoma njaa imeshamalizwa mama ile ilikua short time famine basi .
Kenya GDP kubwa watu wafa njaa wengi mno.
Turkana na leo hii huku tena.
Pole yenu.
Hao wala kinyesi wamejitakia wenyewe maana usaidizi upo na wameshindwa kuutumia.
Na lingine huenda wana asili ya uvivu ndio maana wakashindwa jitengenezea basic requirements
Karne hii watoto wanakula kinyesi,wakaazi was Dodoma kula viwavi, mwanamke kupika mtoto kule geita na watu wanajigamba jinsi wanavyolisha afrika nzima.
Karne hii na watu bado wanasumbuliwa na utapia mlo....
 
Come next 50 years hawa jamaa wa middle income watakuwa na njaa bado!
 
Naona unatetea ujinga...unafikiria wewe mtu atakula kinyesi anapohisi njaa na fika ywajua kuna mahali atapata msaada...mbna dogo hufikirii unapoandika sometime
 
Naona unatetea ujinga...unafikiria wewe mtu atakula kinyesi anapohisi njaa na fika ywajua kuna mahali atapata msaada...mbna dogo hufikirii unapoandika sometime
Ni ujinga wao kwani hakuna anayejikojolea ilhali choo kipo?!
 
Karne hii watoto wanakula kinyesi,wakaazi was Dodoma kula viwavi, mwanamke kupika mtoto kule geita na watu wanajigamba jinsi wanavyolisha afrika nzima.
Karne hii na watu bado wanasumbuliwa na utapia mlo....

Do you understand the meaning of the term isolated incidents?
The same situation is facing your fellow Kenyan who is living in Australia. She has been convicted for killing her own son for religious reasons. Kweli akili ni nywele.
 
Do you understand the meaning of the term isolated incidents?
The same situation is facing your fellow Kenyan who is living in Australia. She has been convicted for killing her own son for religious reasons. Kweli akili ni nywele.
Escapism at its best.
 
Hawa nyang'au wako tayari kufa na tai shingoni huku wanabonga Kiingereza chao feki. Ha ha ha.
 
Reactions: Oii
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…