Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Huwa nasikia majigambo meengi kuhusu hii nchi, nimejaraibu kijielimisha nikagundua kwamba si lolote wala chochote, yaani jamaa hata 3000 MW za Umeme hawana, bado wako chini ya 2000 MW na hii ni nchi yenye wakazi zaidi ya milioni 40, sasa linganisha nchi ya AK inazalisha zaidi ya 40 000 MW za Umeme, na wala huwasikiii wakipiga kelele, lkn Kenya kila siku tunalishwa propaganda hapa mara sijui middle income country, mara sijui Super power wa Afrika, hivi Super power unatumia Umeme chini ya 2000 MW kwa watu zaidi ya milioni 40?
Mimi nafikiri hata huo umiddle income uko overrated for political reasons, kwa maana 2000 MW ni ndogo sana huwezi kuzalisha chochote!
Kuna kitu hakipo sawa, ...
Mimi nafikiri hata huo umiddle income uko overrated for political reasons, kwa maana 2000 MW ni ndogo sana huwezi kuzalisha chochote!
Kuna kitu hakipo sawa, ...