Kenya bhana, kumbe hata 3000MW za Umeme hakuna!

OK 300 MW zaidi, nitabadilisha, lkn kwa bahati mbaya sina uwezo wa kurekebisha heading!
Ni sawa hakuna shida. Nakubaliana nawe hapa Afrika tuna shida ya umeme. Si Kenya tu. Ethiopia ndio inajenga dam ya 6, 000 MW inaitwa " Grand Ethiopian renaissance dam (GERD). cha kushangaza ni kuwa hata baada ya Ethiopia kuanza kuzalisha umeme huu wote bado watabaki kuwa LDC Kwani wana GDP ndogo ( GDP yao imeshinda KE kidogo tu) lakini wako more than 90 million kwa hivyo GDP per capita yao ni nusu ya Kenya. In layman language, Mkenya mmoja ana mali mara mbili ya kila mhabeshi. In English, Kenya has almost double the GDP per capita of Ethiopia.Mhabeshi mmoja ni masikini wa kutupwa hata kushinda Mganda au Mtanzania au Mrwanda. Kwa hivyo there is no direct correlation between GDP per capita and power generation. Saa zingine nashindwa kuandika kwa kiswahili lakini najua umeelewa
 

Nigeria siyo middle income country ni Least zaidi ya Tanzania. Watu kule choka mbaya sana , harafu umeme kukatika ni kugusa tu. Kwa siku unaweza katika mara 20
 
lakini hautawai sikia stima zimepotea Kenya. ikipotea dakika moja ni vita kila pahali unlike S.A where zi upotea for three days.....
 
Sub sahara countries zote ni Least kutoamo nchi chache South Africa, Botswana, Gabon na Namibia. Ongeza mbile tatu basi.
 
Nigeria siyo middle income country ni Least zaidi ya Tanzania. Watu kule choka mbaya sana , harafu umeme kukatika ni kugusa tu. Kwa siku unaweza katika mara 20
Nigeria ni middle income country. Na Kwanza wako na GDP per capita zaidi ya $5, 000. Ukilinganisha na Kenya $1, 600 utagundua Mnigeria mmoja ana pesa hata kushinda Mkenya mmoja ila hio pesa haiko well distributed. Kuna wanigeria wana pesa sana kama Aliko Dangote na pia wana masikini wa kutupwa. Pia hapa Kenya ni hivyo hivyo lakini Nigeria bado ni middle Income pamoja na hao masikini wote wao. Shida ya GDP per capita ni haionyeshi masikini na matajiri ni wangapi katika nchi fulani.
 

Ulishafika Lagos?
 
Kama wazungu wataendelea kuzibana nchi za Africa zisitumie uranium kwa kuzarisha umeme ,waafrica wasahau kupata umeme wa kutosha wa kuweza waanzisha viwanda vikubwa,utafiti wa kisayansi ,mawasiliano ya kujitegemea nk.wana wanafanya kutubana kwa makusudu ili tusiendelee na tuendelee kuwategemea wao.
 
Hua inapendeza kuona nchi yako iko na status nzuri mf kuitwa middle income economy na vitu kama ivyo, lakini inapendeza zaidi uwe mmoja wa wanaofaidi nchi walau kwa kipato cha middle economy na sio vinginevyo,apa bongo tunaitwa ldc but nnauhakika vijana wengi tunakunja fedha nzuri tu kuliko jirani apo...inategemea na wewe unadeal gani...ldc is just name

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Ukisoma majigambo ya wakenya unaweza kujiona nchi yako si lolote,vuka tu mpaka jamaa ustaraabu na ubinadamu hakuna kabisa
 
Sub sahara countries zote ni Least kutoamo nchi chache South Africa, Botswana, Gabon na Namibia. Ongeza mbile tatu basi.
Kuna nchi nyingi tu Afrika ambazo ni lower middle income..zaidi ya kumi. Kuna zingine upper middle income kama Mauritius na Seychelles. Angalia hio article from World bank website.


Lower middle income
Graph, map and compare more than 1,000 time series indicators from the World Development Indicators.
Lower middle income
ANGOLA ARMENIA
BANGLADESH BHUTAN
BOLIVIA CABO VERDE
CAMBODIA CAMEROON
CONGO, REP.
COTE D'IVOIRE
DJIBOUTI
EGYPT, ARAB REP.
EL SALVADOR
GEORGIA GHANA
GUATEMALA
HONDURAS INDIA
INDONESIA JORDAN
KENYA KIRIBATI
KOSOVO
KYRGYZ REPUBLIC
LAO PDR LESOTHO
MAURITANIA
MICRONESIA, FED. STS.
MOLDOVA MONGOLIA
MOROCCO MYANMAR
NICARAGUA NIGERIA
PAKISTAN
PAPUA NEW GUINEA
PHILIPPINES
SAO TOME AND PRINCIPE
SOLOMON ISLANDS
SRI LANKA SUDAN
SWAZILAND
SYRIAN ARAB REPUBLIC
TAJIKISTAN
TIMOR-LESTE TUNISIA
UKRAINE UZBEKISTAN
VANUATU VIETNAM
WEST BANK AND GAZA
YEMEN, REP. ZAMBIA
Data

fuata link:
Lower middle income | Data
 


Na ndiyo kinachonishangaza middle income country yenye watu zaidi ya milioni 40 kutumia 2000 MW tu za Umeme?
 

Hilo nabisha, nyie pona yenu ni kwamba asilimia 80% mnategemea ukulima, lakini likija suala la mpunga, madogo wengi wa Kenya wana hela zaidi yenu.
 


Kuna uhusiano wa matumizi ya Umeme na GDP per capital, labda kama unasema GDP total, hapo sawa lkn GDP per capital ni kipato cha mtu mmoja mmoja kwenye nchi husika, au kwa maana nyingine ubora wa maisha wa Wananchi wa nchi husika.

Hivyo kama una GDP per capital kubwa ni lazima pia utakuwa na matumizi makubwa ya umeme, kwa mfano nilikuwa nasoma nchi ya Trinidad na Tobago, ina wakazi kama milioni 1.3 (ambapo ni ndogo kama mara 30 zaidi ya Kenya na TZ) na wanatumia 2000 MW za Umeme, na GDP per capital yao ni zaidi 15,000 USD, hivyo unaweza kuona tofauti hapo na nchi zetu, wakt sisi tuko zaidi ya milioni 40 lkn tunatumia Umeme chini ya 3000 MW, hivyo matumizi ya Umeme yanasema pia jinsi nchi xyz ilivyoendelea!
 
Hiyo ni ukweli
 
Sababu uzalishaji wa kilimo ,retail trade ,maBenki ,uchukuzi hazitumii ememe sana ukilinganisha na AK ambayo ina viwanda vikubwa zaidi na watu zaidi ya 80% wanatumia ememe nyumbani pia.
 
Nilikuwa namaanisha GDP total. Asante kwa marekebisho. Inafurahisha kuona wewe unaelewa mambo haya hadi unanirekebisha. Nimekubali marekebisho
 
Umerekebishwa na hujirekebishi? umeambiwa mara kadhaa kwamba ni 2, 300 MW sasa kama unataka kuamini below 2, 000 MW then hausaidiki
Anataka kusikia tu ni chini ya 2000 MW sababu that appeals to his emotions.The worse you look the better his diabolic satisfaction gets cuz he has this thing called "confirmation bias"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…