una upgrade hewa???By the way, SGR yetu ikiwa upgraded kuwa electric, itatumia umeme mwingi ama huwa hazili umeme sana?????????
Source of this information is ?????
Inafahamika vizuri kwamba for the same qualifications and rank Kenyans are paid better than any east African country. Sasa unaposema 'vijana wengi tunakunja fedha nzuri kuliko majirani', usije ukawa umelinganisha daktari bongo na nesi wa kenya(mfano tu)Hua inapendeza kuona nchi yako iko na status nzuri mf kuitwa middle income economy na vitu kama ivyo, lakini inapendeza zaidi uwe mmoja wa wanaofaidi nchi walau kwa kipato cha middle economy na sio vinginevyo,apa bongo tunaitwa ldc but nnauhakika vijana wengi tunakunja fedha nzuri tu kuliko jirani apo...inategemea na wewe unadeal gani...ldc is just name
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
What are these "mianya" ya kuingiza hela? Business? Corrupt deals? Online jobs? Betting? Just what are they! Someone needs to come clean coz I have a feeling we are advocating for the same things that ail our society!! Lets Say a doctor at muhimbili tells a patient to see him in his private hospital for a minor surgery is that the kind of 'mianya' we are talking about? Cz I'll be disgusted.Inategemea MK254 sidhani kama ni sawa ,fursa zinaweza tofautiana pia lakini cha muhimu Ni kukunja fedha mjn. ..mf medics wa Kenya anaingiza fedha zaidi ya wauku lakini vipi kuhusu mianya mingine yakuingiza kipato ?nafaham kwa upande wa salary mko vizur
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Inafahamika vizuri kwamba for the same qualifications and rank Kenyans are paid better than any east African country. Sasa unaposema 'vijana wengi tunakunja fedha nzuri kuliko majirani', usije ukawa umelinganisha daktari bongo na nesi wa kenya(mfano tu)
Daktari wa Tz sio wote hupata salary sawa,mf kwa serikali junior huanza na tsh 1,480,000/- basic salary lakini kwa mashirika mengi kuanzia tsh 2M Nakuendelea kuna issue za overtime na mambo mengine vipi kuhusu kenya ...?Inafahamika vizuri kwamba for the same qualifications and rank Kenyans are paid better than any east African country. Sasa unaposema 'vijana wengi tunakunja fedha nzuri kuliko majirani', usije ukawa umelinganisha daktari bongo na nesi wa kenya(mfano tu)
You have actually proved my point coz the lowest paid doctor in Kenya I believe was earning Tsh 2,700,000/- give or take.Daktari wa Tz sio wote hupata salary sawa,mf kwa serikali junior huanza na tsh 1,480,000/- basic salary lakini kwa mashirika mengi kuanzia tsh 2M Nakuendelea kuna issue za overtime na mambo mengine vipi kuhusu kenya ...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh i see...vp kuhusu bei ya vitu sasa twende taratibu mf petrol lita moja uko Ni sh ngapiYou have actually proved my point coz the lowest paid doctor in Kenya I believe was earning Tsh 2,700,000/- give or take.
Read my post, nilisema same qualification and rank.
Lets make it simpler, Starting with the president, Mps, judges, doctors(same rank and qualification), police(same rank) kenya wanalipa vizuri
Oooh i see...vp kuhusu bei ya vitu sasa twende taratibu mf petrol lita moja uko Ni sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuaje nipe bei unaweza kisia bei bro chakula mgahawani, vinywaji kama soda,bia ,airtime na chupa ya maji ,bei ya nyumba za kuishi pia kulingana na ukubwa au eneo nyumba ilipo alafu tuangalie je ni nani ananafuuHata nauli ya Daladala Kenya (Nairobi) ni zaidi ya mara 3 ya kwetu, na inaendana na umbali na muda, siku ya kwanza kufika Nairobi nilishangaa kuona maelfu ya watu wakitembea asubuhi na jioni kwenda kazini kwa maana hawawezi kulipa nauli!
Ulijuaje wanaenda wapi na hawawezi kulipa nauli?Hata nauli ya Daladala Kenya (Nairobi) ni zaidi ya mara 3 ya kwetu, na inaendana na umbali na muda, siku ya kwanza kufika Nairobi nilishangaa kuona maelfu ya watu wakitembea asubuhi na jioni kwenda kazini kwa maana hawawezi kulipa nauli!
Oooh i see...vp kuhusu bei ya vitu sasa twende taratibu mf petrol lita moja uko Ni sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay,kuna hoja nying nimeuliza mmepita wins shida ni nnDepending on the company, it currently ranges from 87.00 to 92.00/ltr (in Kshs ofcos) in Nairobi.
Point of correction ,kuna hoja nimewauliza mmepita wima shida ni nn ?
I am too busy, driving back and forth, doing this and that....sijapata kupita kwenye mengi ya nyuzi humu, na hata hili nimechungulia tu few of the comments in the 1st and last pages.
Niliuliza bei ya mahitaji ya kila siku mf chakula katika migahawa ya kawaida, vinywaji baridi na pombe za kawaida kama bia,petrol umeshajibu ni sawa na. huku tu,bei za nyumba zakupanga katika mitaa ya kawaida lakini sio mitaa yahovyoI am too busy, driving back and forth, doing this and that....sijapata kupita kwenye mengi ya nyuzi humu, na hata hili nimechungulia tu few of the comments in the 1st and last pages.
Hoja gani hizo ndugu? Hebu yaulize zote hapa kwa mpigo. Pindi nitakapopata mda nitazishugulikia...
Mambo ya uchumi ni simple sana. Advice naeza kupea ni enda Wikipedia search how to calculate GDP. Au kama unaeza access library ya chuo kikuu pia enda utafute kitabu ya uchumi haswa Macroeconomics na usome how to calculate GDP. Lakini kwa ufupi GDP ni mali yote iliyopo kwenye nchi fulani. Unaangalia thamani ya majengo yote kwenye nchi hiyo. Kenya ina the biggest real estate sector in EA. Kisha Unaangalia thamani ya manufacturing sector. Kenya ina one of the biggest manufacturing sectors in E.A . Hatuangalii power generation bali size of manufacturing sector. Kisha tunaangalia thamani ya Agricultural sector (which is 30%) of KE GDP. Sector zingine ni mining, service, infrastructure and so on. Ukijumulisha haya yote utapata KE ina GDP ya $70 bn as of 2017. Hata kama electricity generation ni 2, 300 MW. sisi hatuna industry kubwa kama AK lakini tuna mali kushinda kila nchi hapa EA. Soma Mambo ya GDP and how to calculate it, hata si ngumu kuelewa
Good salary doesn't means your paid well than tanzania. What about food price, renting or own a hours, transport cost, water bill that u need. Compare with tanzania u are nothing but ending to paid bills.u Work for money to pay bills with little saving which means nothing, u have hunger, angry attitude, poor looking because of food. Which help u is milk, flowers and miraa(mirungi) labda baadae mkifanikiwa kukomboa white elephant project mlizozianzisha(sgr na crude oil)You have actually proved my point coz the lowest paid doctor in Kenya I believe was earning Tsh 2,700,000/- give or take.
Read my post, nilisema same qualification and rank.
Lets make it simpler, Starting with the president, Mps, judges, doctors(same rank and qualification), police(same rank) kenya wanalipa vizuri
Kenya hu-import umeme toka Uganda, Ethiopia. Zamani walikuwa wanatumia Umeme toka TZ hasa kwa Mombasa, TVT n.kHuwa nasikia majigambo meengi kuhusu hii nchi, nimejaraibu kijielimisha nikagundua kwamba si lolote wala chochote, yaani jamaa hata 3000 MW za Umeme hawana, bado wako chini ya 2000 MW na hii ni nchi yenye wakazi zaidi ya milioni 40, sasa linganisha nchi ya AK inazalisha zaidi ya 40 000 MW za Umeme, na wala huwasikiii wakipiga kelele, lkn Kenya kila siku tunalishwa propaganda hapa mara sijui middle income country, mara sijui Super power wa Afrika, hivi Super power unatumia Umeme chini ya 2000 MW kwa watu zaidi ya milioni 40?
Mimi nafikiri hata huo umiddle income uko overrated for political reasons, kwa maana 2000 MW ni ndogo sana huwezi kuzalisha chochote!
Kuna kitu hakipo sawa, ...
It means exactly that. Unless you want to reinvent the wheel!Good salary doesn't means your paid well than tanzania.