Kenya Coronavirus Update

You must be one among idiots, if 20 Kenyans die, that is only 12% of 189 cases you have, and only 10 Tanzanians die, that is about 30% of 32 cases we have, are you comfortable for having many deaths but low in percentage?. Hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama umepima 6000 kwa wiki zote alaff leo unataka kutuletea stori za vipimo 35000 kwa siku nyie serikali yenu ishawaona mazuzu mnapelekwa pelekwa


Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni muongo muongo sana na pr zake na hutoona wakenya wenzake humu wakimuambia yupo wrong! zaidi ya kutetea ujinga wake.
 
Do you know death rate in Tanzania is 9.3% while in Kenya is 3.1%? Hide your stupidity.
Hahahaha, ninyi ni wajinga sana, nani aliyekuambia kwenye vifo tutaangalia death rate?. Kwahiyo ninyi watu 30 wakifa lakini inaonyesha kwamba rate ni ndogo kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa, mnaona ni nzuri kuliko nchi yenye vifo 10 ila kwasababu wanaidadi ndogo ya wagonjwa ndio inaonekana rate ndogo.

Kinachosumbua na chenye kusumbua dunia ni idadi ya wagonjwa na idadi ya vifo, hakuna nchi wala mtu anayetaja "death rate ya China, USA, au Italy. Amkeni mtakwisha Corona sio jambo la mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko hivi unajua kuwa huwezi ficha ugonjwa??? Maana vifo vitakuumbua saa kama unasema hatupimi na waloambukizwa ni wengi sasa mbona hamna vifo wala hospital hakuna wagonjwa si wangejaa mahospital yote tz??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama umepima 6000 kwa wiki zote alaff leo unataka kutuletea stori za vipimo 35000 kwa siku nyie serikali yenu ishawaona mazuzu mnapelekwa pelekwa


Sent using Jamii Forums mobile app
Una kichwa kigumu huelewi chochote....hapo mbeleni hatukua na uwezo wa kufanya tests 35000 tulkua tunafanya averagely tests 600 kwa siku, ila sasa technologia mpya kutoka kwa kemri itaiwezesha serikali kupima watu 35,000 kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rudi kwenye mada yako test ata 1000 kwa siku umeshindwa kufanya leo unataka kupiga domo eti 35000 kwa siku ebu fichaga ujinga wako sometime


Sent using Jamii Forums mobile app

Kanawe uso kwanza uondoe maruerue, yanafanya uonekane mjinga,
Unaelewa nini maana ya "automatic tests", tafuta mtu akutafsirie wacha kuwa mpumbavu.
 
sasa kama umepima 6000 kwa wiki zote alaff leo unataka kutuletea stori za vipimo 35000 kwa siku nyie serikali yenu ishawaona mazuzu mnapelekwa pelekwa


Sent using Jamii Forums mobile app
It seems you are willfully being ignorant. Let me summarize it for you.
a) Until yesterday kenya was doing 600 tests a day using about 4 manual PCR (Polymerase chain reaction) kits.
b) From this week Kenya will start using the repurposed Cobas 6800/8800 machines to do automatic PCR tests.
c) each Cobas 6800/8800 machine has a capability to handle about 5000 samples.
e) Kenya has 7 in government facilities and 2 in private laboratories
f) Quick mathematics if we use only government machines it will be 7X5000=? (35000), good if you got this answer clap for yourself.
 
Anko hivi unajua kuwa huwezi ficha ugonjwa??? Maana vifo vitakuumbua saa kama unasema hatupimi na waloambukizwa ni wengi sasa mbona hamna vifo wala hospital hakuna wagonjwa si wangejaa mahospital yote tz??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kitu Watanzania mnapaswa kuelimishwa, maana hili naona wengi linawapiga chenga na labda ndio maana serikali yenu imezembea kwenye hili suala la Corona.
- Kutajwa una Corona haufi moja kwa moja
- Kuna watu wenye Corona bila hata kujua wanayo
- Waliopmwa huku Kenya ni wale ambao wamefuatwa na serikali baada ya kubainika walihusiana kwa namna moja au nyingine na waathrika wa kwanza
- Corona hapa Afrika bado haijasababisha vifo vingi, hili wanasayansi wameshindwa kubaini nini sababu
- Mwafrika wa kawaida akiumwa mafua, ni vigumu sana aende hospitalini
- Wakenya wengi waliogunduliwa kuwa na Corona, inasemekana iko mild sana kwao, hawahisi chochote kikubwa, yaani isingekua kwa kufuatwa na serikali, hawangejipeleka hospitalin wenyewe, maana kwa Mwafrika kitu kama mafua unayanywea maji moto ya limau tu basi
- Hivyo hata huko Tanzania, ikitokea Corona imetinga mtaani, wengi hata hamtajua ni yenyewe, labda pale iwakute mnaoumwa mazagazaga mengine, ndio hatari
- Kwa hivyo, sababu zetu za kupima watu wengi ni ili kujaribu kuwatenga wasije kuwaambukiza wazee au Wakenya wenye matatizo mengine
 
Hao wote mbaowapima tayari mumeshawatenga, kwasababu mnapima wale ambao wapo kwenye karantini na wale mliowapata katika " contacts tracing", swali la kujiuliza ni kwamba, kama tayari watu mumeshawatenga, hawawezi kuambukiza, kuna umuhimu gani wa kupoteza "resources" kwa kuwapima wote badala ya kusubiri siku 14 zifike ili wenye dalili ndio wapimwe na wasio na dalili waachiwe?.

Lengo la kuwapima watu ambao tayari mumewatenga hawawezi kuambukiza hata kama wanavyo virusi ni lipi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idiot, who said im comfortable with people dying? You have been trying to prove how Kenyans are dying in numbers and wanting more to die because you are the 😈 himself, then I explained to you Mathematically. Let me teach you because you are so dumb to understand. Percentage means rate. Even if Kenya has higher number of Corona deaths, Tz people are dying at at a higher rate. This means for every 100 people who are infected in Kenya, 3 die while in Tz 9 die. Is it hard to understand that? Go back to class you Moron.

Parting shot: I wish all those infected both in Kenya and Tz and globally quick recovery so that we can get things back to normal.
 
You are asking too much from their brains! They have the IQ of a sewer rat, thinking, logic, reasoning is not their strength. What they are strong at is bind nationalism and stupid dare I say, almost pathological obsession with anything from Kenya especially Kibera.
To understand rates one must have some calculus skills which I doubt is taught in their schools.
 
GOK haifanyi mambo kwa kurupuka.According to research It's Estimated 25 percent of people infected don't present any symptoms or fall ill but can still transmit the illness to others.
These asymptomatic carriers, are most likely
contributing to the rapid spread of the virus.
They can Only be diagnosed positively once they are tested and that is what we are doing at the moment.
 
Kanawe uso kwanza uondoe maruerue, yanafanya uonekane mjinga,
Unaelewa nini maana ya "automatic tests", tafuta mtu akutafsirie wacha kuwa mpumbavu.

tumia akili kuona possibility ya hicho kitu na ukae utulie kwamba nyinyi ndo mtakua nchi ya kwanza afrika kua na uwezo huo hakuna nchi afrika inayopima vipimo hivyo kwa siku, acha kua mjinga unabeba beba tuu maneno bila kutumia ubongo wako wa kuku


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…