Kenya Election 2007: Outcomes


I am not trying to be rude but this is one of 'hem crapiest ideas I hear from ccm propaganda machine every other day. yaani watu wamwache mtu anayeuza nchi kwa kasi kama ya Kikwete kwa miaka kumi mbona basi hata wajukuu wetu wote watauzwa kama vile watumwa waliouzwa marekani walivyokuwa wakiuzwa hadi vizazi vyao vijavyo.

Kikwete atakaa miaka mingine mitano kwa vile njia zote za amani ikiwemo kupiga kura zimeshindwa na wala sio kwa vile inabidi apewe miaka kumi maana mitano haitoshi!
 

Kwenye suala la uraisi mi naona huwa hawasubiri awamu ya pili kuonyesha makucha; simply cos hawana uhakika wa kubaki hadi mihula miwili; hivyo maraisi walafi wakiingia ofisini wanaanza kukusanya kama Lowassa, wankula ovyo; sema wengineo huwa hawafanyi waziwazi. Am sure, by the second term watakuwa washavimbiwa hivyo wanataka kujenga jina ili wakistaafu jumuiya ya kimataifa iwapokee watakapostaafu; we huoni vile Ben kapata mapokezi, mara kamati hii, mara taaisis hii ya kimataifa? kawaida ya binadamu kumbukumbu za mambo ya karibuni ndio zinatawala; ndo maana Bill Clinton alimuona Ben anafaa kuingia naye ubia kwenye kampeni ya ukimwi wakati sisi tunalia na biashara ikulu na radar
 
Kenyan-Tanzania uko wapi na matokeo?

Bora utuambie kinachoendelea maana kadri navyosoma anachoandika hapo juu mwendapole nashindwa kuamini kama nasoma JF au gazeti la uhuru na kusikiliza redio tanzania vile!
 

Mwafrika wa Kike,

Usiwe na wasiwasi juu ya hili labda waibe kura lakini kwenye haya mambo ya simple random sampling ambacho ndio kinatokea sasa, hakuna uwezekano wa Kibaki kuifuta hiyo tofauti ya karibu asilimia 10 baada ya nusu ya kura kuhesabiwa.

Central inasemekana wamepiga 2.5 na tayari kama 1.2M zimeshahesabiwa, Kibaki anaweza kuwa na za kwake kama milioni moja nyingine.

Kwa mwendo huu Kibaki hawezi kufikisha 4M wakati Raila zitafika karibu 6M.

Kama una wine yako wewe kunywa tu, matokeo yakiwa tofauti, nidai fidia.

Hiyo theory inaweza kubadilka tu kama polisi na jeshi wakiamua kukimbia na mabox kama kule Zanzibar.
 

Only that am not CCM or anything propagandist. Ndio shida ya wengi hapa, mtu akisema usichoafiki ni propaganda ya CCM.Am saying what I believe; like it or not, its your headache but dont characterise me mamaa..I have no reason to like CCM, nor any reasonable ground not to make do with it as it is
 

Hivi Mwendapole unatania au?????
 
Kufikia sasa mambo yapo hivi

MUJIBU WA: KTN TV

SAA: 9.45pm

JUMLA YA KURA ZILIZOPIGWA: 14,308,909 Million

_________________

Zimekwisha hesabiwa kura takriban 6. 3 Million hivi na matokeo ni kama yafuatavyo

1. Raila Odinga - 3, 412, 617 Millioni
2. Kibaki Mwai - 2, 716, 962 Millioni
3. Kalonzo Musyoka - 456, 464 Millioni.

Inasemekana Raila anaongoza bado kwa mikoa sita na Kibaki kwa mikoa miwili.

- Inasemekana pia kwamba Kibaki atamfuata Raila kwa karibu wakati kura zingine za kwao Central Province zitakapozidi kuingia Nairobi.

- Inasemekana kwamba kuna amani ila watu wana wasiwasi kwamba watu wenye nia mbaya wanaeza tumia giza na usiku kufanya hila chafu.

- Tuendelee kuvuta kheri kwa kuwa na subila waheshimiwa.

Mimi Shemeji enu
 
Nimetoka kuongea na watu wa ODM house muda wa nusu saa iliyopita. Kuna wasiwasi wa kura za Eastern. Huko kuna kura 2m na zilizotangazwa ni chache sana. Hivyo kuna wasiwasi kuwa Kibaki aweza kurigg huko na kupata narrow victory.

Tufuatilie kwa karibu sana kura za Eastern na hasa Upper Eastern
 

I care less for who you are and yet I called a propagandist! So live with na ukome kugeneralize wana-JF, nani kakwambia kuwa wote wanaamini hivyo! come on now
 
Kwi kwi kwi kwi kwi!
why should I? am serious bro!


Kwa hiyo wewe uko radhi kabisa raisi awe fisadi katika kipindi chake cha kwanza kwa mategemeo ya kwamba atabadilika katika kipndi chake cha mwisho? Je asipobadilika what next? Kwa mitizamo kama yako mabadiliko nchi hii yatabaki kuwa ndoto!
 
I care less for who you are and yet I called a propagandist! So live with na ukome kugeneralize wana-JF, nani kakwambia kuwa wote wanaamini hivyo! come on now

Typical...!
Huku ninakoishi hiyo lugha huwa wanatumia wanawake wa barazani.
I dont sell cheap sweetie, so dont try that one on me. Lete point acha upashu!
 
Kwa hiyo wewe uko radhi kabisa raisi awe fisadi katika kipindi chake cha kwanza kwa mategemeo ya kwamba atabadilika katika kipndi chake cha mwisho? Je asipobadilika what next? Kwa mitizamo kama yako mabadiliko nchi hii yatabaki kuwa ndoto!

On a very serious note;
Sishabikii ufisadi; ninachosema ni kwamba sijaona ahueni kwa yeyote; kila mmoja huja na ahadi za kuwakomboa wananchi, akishaingia hana tofauti na aliyetangulia; na kama trend ni hiyo basi bora zimwi likujualo. Yaani the way things are; matatizo ya wananchi na kero zao zinakuwa ni mtaji wa kuwaingiza ikulu, wakifika huko wanampa sababu fisadi mwingine kuibuka na kujifanya yeye ni mkombozi wa kweli; mi siamini hata mmoja wao. Thats my point
 
Typical...!
Huku ninakoishi hiyo lugha huwa wanatumia wanawake wa barazani.
I dont sell cheap sweetie, so dont try that one on me. Lete point acha upashu!

upashu kuliko propaganda zako za kibuzwagi na kifisadi hapa? Uko very cheap ndio maana unashabikia ufisadi! sinunui vitu kwa mafisadi so hata usifikirie kabisa kuniita sweetie kwani mimi na mafisadi na watetezi wao ni mbalimbali kabisaaaa
 

Kama vile mazimwi hayo yanayokujua yanavyofanya kwa kuuza nchi kila leo. Solution kutoa mazimwi haya na kuweka watu wenye akili na wanaofikiria!
 
Naanza kupata wasiwasi sana na matokeo haya ndugu zangu. Kibaki anavuta na kunarrow the gap. Nimeambiwa kuwa tatizo kubwa ni watu wa Western walijitokeza wachache kupiga kura (low turn out). Mtu anaeonekana kusave kwa kiasi kikubwa ushindi wa Raila kama ukitokea ni Ruto maana wakalenjin wamejitokeza wengi lakini pia wamepiga kura za mabadiliko.

Kama nilivyosema kabla, Jimbo la Mashariki bado ndio litakaloamua maana so far wamehesabu chini ya kura 1m.

Tunachojifunza kwa ndugu zetu wa Kenya ni uvumilivu wa kisiasa, maandalizi wa mapema na ushirikiano wa dhati. Wamefanya kampeni pamoja, Raila akiwa Nyanza, Ruto yupo Rift Valley, Balala Pwani, Nyagah Central, Ngilu Eastern na Musalia Western. Walizunguka kweli kweli.

Tatizo tu ni ukabila. Lakini huku kwetu pia watu wanapiga kura kwa ukabila. Kumbukeni mwaka 1995 Mrema alibeba kura zote za Chagaland ie 87%. Mkapa nae huko Mtwara it was to the last man. Cheyo alipata kura za kutosha Lake Zone.

Nadhani inabidi kurithink political strategies zetu. Inawezekana kabisa kuitoa CCM. Kama hatutaitoa tunaweza kuwa na wabunge wengi zaidi ya CCM na kisha kuwa na Waziri Mkuu. Inawezekana!
 
Mwafrika wa kike!

Kama una BWANA amekuoa namwonea sana huruma- maaana unamburuza na kumziba mdomo kisawasawa!

Mara ingine akina dada kama Mwafrika wa Kike huwa hawaolewi! huwa tu senior sisters! Na kuzaa tu mtoto na Mme wa mtu basi!

Hii ndo hali halisi!
 
upashu kuliko propaganda zako za kibuzwagi na kifisadi hapa? Uko very cheap ndio maana unashabikia ufisadi! sinunui vitu kwa mafisadi so hata usifikirie kabisa kuniita sweetie kwani mimi na mafisadi na watetezi wao ni mbalimbali kabisaaaa

Tehe tehe tehe tehe...what makes you think you can buy anything from me? do you buy 'em cheap from any Tom , Dick and Harry? dont jump to conclusions mamaa; nina maana, huwa siendekezi ubishi wa kijinga, na lugha za mtaani sio style yangu. You can get your point across without spitting venom, unless thats your defence strategy, otherwise save your energy. You come with a point we will get along well, you dont, get lost, and that ends it
 

Mhh haya ndugu kama umeanza haya ya kuzaa watoto na kuwa senior sisters naona una ajenda yako ya siri. Hujaambiwa kuwa maisha ya kwenye siasa na vijiwe kama JF ni tofauti kabisa na maisha ya kawaida? Muulize mama Clinton akufafanulie hili!
 

Katika threads zako kabla ya hili umefanya exactly what you say hufanyi. Unachukua sana standard ya juu mapema hivyo. Soma tena ulichoandika hapa uone vile uko cheap na ubishi unaouita wa kijinga!

Mbona kazi unayo! Hapa unapata exactly what you do, ukileta pumba utapata pumba na ukiwa na point zipo tu za kumwaga pia na subira tu ndiyo itaamua kama nitalost au nitakuwa nimejaa tele hapa JF kwa miaka mingi sana ijayo as longer as niko alive na JF iko hewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…