Kuna mtu kaniambiwa kuwa Odinga amekamatwa kwa uhaini,
kuna mwenye maelezo zaidi ya kilichotokea?
At least 43 people have been killed in the western Kenyan town of Kisumu after violence blamed on the disputed presidential election. A BBC reporter saw the bodies with gunshot wounds in a morgue in the opposition stronghold. Witnesses say the police fired live bullets after protesters threw stones, claiming fraud in last week's poll.
President Mwai Kibaki has been declared the winner but Raila Odinga says he was robbed of victory. There have also been violent clashes in slums in the capital, Nairobi, and the resort town of Mombasa.
Reuters news agency reports that 15 bodies have been found in the Nairobi slum of Korogocho. Those killed in Kisumu include two women and three children, reports the BBC's Noel Mwakugu. An eye-witness told him that police fired indiscriminately even after the protesters started running away in the Kisumu suburbs of Manyatta and Nyamasira.
Lakini hapa Kibaki asilaumiwe sana, ni kama ameburuzwa na watu kuingia kwenye hiyo hali. Unajua mtu ukifikia ngazi ay urais there is nothing to worry about, utamu unaendelea tu hata ukistep down, halafu mkumbuke kuwa Mzee Kibaki sio kijana mwenye uchu wa madaraka. Kuna watu ambao wana wasiwasi(Sio Kibaki)kuwa Odinga akiingia madarakani basi wao watakuwa na hali mbaya, hao ndio wamefanya mambo ili kuhakikisha Kibaki anarudi madarakani kwa wizi wa kura!
Unafiki wa hawa leaders sasa UN, EU nao wako wapi?
Naamini hawa watu walikua na observers wao so nadhani wanasubiria report zao ili watoe msimamo wao.
Tusubirie
K-T,
Lete updates, lakini uwe makini sana bado tunakuhitaji sana hapa JF na Mungu akulinde ili uendelee kutupatia updates of what is going on hapo Nai.
Kenya - Tanzanian huenda amekwenda kwenye maandamano au wamemkatia umeme au mawasiliano ya simu. Damn inatisha hii!
Sasa independent media ya Kenya iko wapi? Haya yangekuwa yanatokea Tanzania media ya Kenya wangekaa kimya kama media ya Tanzania na Uganda ilivyo kimya?
Hivi hawa waandishi habari uchwara walijifunzia taalama zao wapi? Hivi Kenya walitembeza bahasha kwa waandishi wa Bongo? Au wanasubiri habari kutoka BBC, CNN na SKY news? Hizi habari wao ndio wako jikoni. Je, walituma waandishi wao wa habari Nairobi? Hao waliotumwa kama wapo wanasema nini kuhusu raia wanaopoteza maisha yao?
Isije ikawa bado wanaogopa kupigwa na mama Kibaki.