escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Kocha wa mechi 1 mkataba unaisha.Dππ Kenya hawaishi vituko.
Ila angalau hao miezi miwili,bongo kuna mkataba wa Visit nini ilee,,,!huo mkataba siku mbili tu umeisha.Kocha wa mechi 1 mkataba unaisha.
Bumbuli alisema watavaa visit kilimanjaro kwenye ngao ya jamii,majamaa wanajua kuingia ila hata ku paste wanakosea ,Simba ilipoingia makundi ndo wakazindua jezi ,wao hata hatua za awali hawajapita washazindua.Ila angalau hao miezi miwili,bongo kuna mkataba wa Visit nini ilee,,,!huo mkataba siku mbili tu umeisha.
Wamemuiba Senzo lakini wanashindwa kumtumia yule mwamba,yani ni wakukurupuka tu.Bumbuli alisema watavaa visit kilimanjaro kwenye ngao ya jamii,majamaa wanajua kuingia ila hata ku paste wanakosea ,Simba ilipoingia makundi ndo wakazindua jezi ,wao hata hatua za awali hawajapita washazindua.
Ndo ujue GSM Yuko kwa ajili ya hela za jezi matokeo Yanga watajua wenyewe