Kenya football fans worst in East Africa

Duhh!! Yule mchina usikute alishuhudia mengi mpaka kutoa lile neno..
 
Hao ni wajinga wa Gor.
Sirkal yawaa! Okang'eyo but why all this aibu matin matin? Omera iparoga ni in en bar! [emoji1] Huwa wanafanya mengi zaidi ya hayo ambayo yalinaswa na kamera. Nadhani mleta mada aliumwa sana na ushindi wa Harambee Stars jana ndio akaamua kujibu mapigo na hivi vituko vya mashabiki wa Gor Mahia. Hahaa! [emoji1]
 
I'd hate to be mulisaaa sasa hivi! yaani Dr Congo ilichapwa kichapo cha kufa mtu na ZIMBABWE(just imagine that for a moment) kisha tanzagiza ikatiwa hadi nyuma bila lube bila huruma na cape Verde sasa hajui atokee wapi.
 
I'd hate to be mulisaaa sasa hivi! yaani Dr Congo ilichapwa kichapo cha kufa mtu na ZIMBABWE(just imagine that for a moment) kisha tanzagiza ikatiwa hadi nyuma bila lube bila huruma na cape Verde sasa hajui atokee wapi.

No need of this foam.

Sikia,acheni hii ujinga.
 
Na ndio maana ningumu tushindwe kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1612][emoji1612][emoji1612][emoji1612][emoji1612]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…