As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,538
- Thread starter
-
- #21
Lakini unafahamu kuwa uislam umekataza kujiuwa au kuuwa nafsi ya mtu mwengineSio mimi ninayemuingiza Mungu katika mambo ya kujilipua Bali huyo niliyemu-quote hapo juu. Nadhani ni muumini mwenzio.
Hakuna kitu mkuu inaonyesha kuna kitu unataka useme alafu unasita ongea tu!!Kuna nini huko lakini?
Mungu Mwenye upendo wote hawezi kutuumba kwa kutuwekea complicated systems namna ile halafu kisha akataka tuwe tunajifiafia tu kama Mende au Kunguru! "Mungu" Wa namna hiyo lazima tumtilie shaka kubwa.
Target kubwa ya Al -shabab ilikua kumuondoa jama hapo anaesemekana kupanga njama za kuungamiza uislam East Africa na Africa nzima na wame fanikisha kumuondoa jama !![emoji116][emoji116][emoji116]Ila kijana alikuwa na roho ngumu sana kachukua maamuzi magumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Kushindwa kufikiria tu nje ya duara ya mashaka. Unaambiwa au unadanganywa kwamba tunakupatia pesa ya kutosha kwa ajili ya familia yako. Pesa ya kutosha kwa kikokotoo kipi? Pesa nyingi kwa matumizi ya wigo gani? Pesa nyingi kwa muda gani Wa kuishi hapa duniani?
Wapi tena?Kuna nini huko lakini?
Duh bora wangetafuta njia mbadala sasa wameondoka na wengine 20+1 wakiwemo waislamTarget kubwa ya Al -shabab ilikua kumuondoa jama hapo anaesemekana kupanga njama za kuungamiza uislam East Africa na Africa nzima na wame fanikisha kumuondoa jama !![emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1001000
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh bora wangetafuta njia mbadala sasa wameondoka na wengine 20+1 wakiwemo waislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Kushindwa kufikiria tu nje ya duara ya mashaka. Unaambiwa au unadanganywa kwamba tunakupatia pesa ya kutosha kwa ajili ya familia yako. Pesa ya kutosha kwa kikokotoo kipi? Pesa nyingi kwa matumizi ya wigo gani? Pesa nyingi kwa muda gani Wa kuishi hapa duniani?
Wa islam waliofariki walikua wawili ila naiman hawakua kwenye target ila mda wawo ume fikia wakawa wametanguliya mbele ya haki yasemekana shambulizi lilipangwa mwaka mzima ,,but nakua na umizwa na innocent people wanapofariki kwa njia kama hizo ila sio hawo wanao ushambulia uislam nakutaka ku uangamizaa !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Money laundering and terrorism financing.Ndio inavyokuwa. Kama ana familia anahakikisha anatuma pesa za kutosha zitakazo saidia familia wkt yeye akiwa hayupo duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo kenge aliyejilipua