Serikali ipi unayo zungumzia??hapana iiyi ya mafisadi tunayojua!Serikali ilitakiwa ikutafute mtu kama wewe ikung'oe mapumbu,ng'oa kucha hizo,ikutoe na macho kwa kisu butu,ili ujue utamu wa ugaidi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Somo gani tena mkuuKenya mmemifurahisha , Mmetupa somo sisi watoto wa wale wasiojulikana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Somo la kupambana na Ugaidi, Na angalau kupatikana haraka kwa mmoja wao aliyejilipua na familia yake kukamatwa
Kijiuwa na mungu wap na wap huyo ataenda kusikojulikanUsimuinhize mungu katika jambo la Kishetani! Mungu wetu kakataza kujiuwa au kuuwa nafsi ya mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
stoneman Douglass high school 14 Feb last year Yule jamaa alieshoot students pale alikua anaitwa Nani???Anaitwa nani vile?
Pesa watamnyanganya?Mke na baba yake wameachiwa tyr huyu jamaa alikimbilia somalia kitambo kutoka mombasa wa nasema tareh 7 week kbla ya mashambuliz polisi walimuita mkewe kituoni na jamaa alituma hela nyingi sana kwa mkewe
Wakati yeye akiwa na wale mabikra 72[emoji23]Ndio inavyokuwa. Kama ana familia anahakikisha anatuma pesa za kutosha zitakazo saidia familia wkt yeye akiwa hayupo duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nimeelewa kwanini waisrael wanabomoa nyumba za familia za wapalestina wanaujitoa muhanga kuua wayahudi.Ndio inavyokuwa. Kama ana familia anahakikisha anatuma pesa za kutosha zitakazo saidia familia wkt yeye akiwa hayupo duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingependa kudhihaki dini za watu. Lakin kama ndio imani yake what i can do.?
Kwa hiyo alshabibi wanafanya kwa manufaa ya umma wa waislam? Hebu fafanua kidogo. Ninavyofahamu Ashabibi hawakubaliki na waislam kama vile mtoa mada anavyobainisha?Target kubwa ya Al -shabab ilikua kumuondoa jama hapo anaesemekana kupanga njama za kuungamiza uislam East Africa na Africa nzima na wame fanikisha kumuondoa jama !![emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1001000
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh bora wangetafuta njia mbadala sasa wameondoka na wengine 20+1 wakiwemo waislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingependa kudhihaki dini za watu. Lakin kama ndio imani yake what i can do.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usinilishe maneno ukweli ni kwamba katika uislam yapo mambo ukiyafanya adhabu yake ni kifo na wala uislam hauruhusu ku uwa innocent people haijalishi muislam wala asiye muislam !!! Kama mfano mtu anae upiga vita uislam na kutaka kuangamiza uislam na wa islam uyo ruhsa kumua ukimpatia nafasi,,,mtu alie zini hali ya kwamba ana mkee (akiwa kwenye ndoa) kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe hadi kufa kwa inchi zinazofata shariah Law ,mtu alie ritadi (murtadi)alie toka kwenye uislam na huyo pia....ndo ukweli huyoo ukubali uchukie na ukatae pia !!!D, ninesoma hoja za ibby na mtoa mada sisiti kusema kuna shida mahali. Naona wazi kabisaa wanachanganya dini na ugaidi hii ni mbaya sana. Jamaa mmoja hapo juu anasifia uuaji wa wengine akisema hao waislam waliokufa ilikuwa bahati mbaya! Huyu unamuweka ktk kundi gani? Mwingine anasema gaidi ana ubinadamu wake! Ubinadamu upi wa kujitoa muhanga na kuua ubinadamu mwenzake.
Halafu wakati mwingine utawasikia wakisema oohh ugaidi si uiislam...sijui makosa yao siyo uislam mbona hapa wanachukua upande wa magaidi...hawa jamaa waache unafiki kama nyeupe waite nyeupe kama nyeusi waite nyeusi unafiki ni mbaya sana....
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Soma koment yako namba 28 kwanza. Watu tunawaza kuepuka haya majanga na kupambana nayo we una sympathize NO kwa hii nitakupinga ndugu.Mkuu usinilishe maneno ukweli ni kwamba katika uislam yapo mambo ukiyafanya adhabu yake ni kifo na wala uislam hauruhusu ku uwa innocent people haijalishi muislam wala asiye muislam !!! Kama mfano mtu anae upiga vita uislam na kutaka kuangamiza uislam na wa islam uyo ruhsa kumua ukimpatia nafasi,,,mtu alie zini hali ya kwamba ana mkee (akiwa kwenye ndoa) kuchimbiwa shimo na kupigwa mawe hadi kufa kwa inchi zinazofata shariah Law ,mtu alie ritadi (murtadi)alie toka kwenye uislam na huyo pia....ndo ukweli huyoo ukubali uchukie na ukatae pia !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatupingani bali tunaelimishana kaka!!BTW kila la kheriSoma koment yako namba 28 kwanza. Watu tunawaza kuepuka haya majanga na kupambana nayo we una sympathize NO kwa hii nitakupinga ndugu.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo