Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Kwani si sweepers ndio waliopata ajali au mimi sijaelewa?Kwani hawakufanya sweeping? Au daladala ndio wakorofi?
Siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.Tunawapa pole na Mungu awape afya njema hatimae Mh Kenyatta aibuke kidedea na huyu mwingne rafki wa --------ashindwe kabsa