Kenya General Service Unit(GSU) vs Tanzania Soldiers

Km hujui sema uambiwe, heheee!!mtego huo, afadhali ukauruka hvo hvo..manake ungeumbuka
Yaani wewe mkenya huji hata maana ya GSU unaniuliza mimi kha!!!
Tukiwaambia wakenya hamjitambui mnaanza kulia lia. Nini hii sasa unafanya?
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‰πŸ˜ŠπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…

Nini kinaendelea hapa jamani
 
Hvyo vikosi hta somalia na south sudan wako navyo..tuletee vitu km Recce buda
 


Mimi huwa nawauliza huyu kilimpata nini kuvaa NVG mchana wa jua kali kwa mtindo huo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Shabab walikuja Nairobi mwaka huu na kuvamia jumba kubwa lenye ghorofa nyingi wakidhani tutachukua siku tatu kuwararua kama vile westgate lakini wakati huu tulichukua masaa nane pekee kuwapepeta na kupasua vichwa vyao.
 
Duh!!kumbe hata silent drill hamuitambui...
Admistration police ndio wako ba best silent drill in africa...

Jamaa njooni, kumbe hawa jamaa hawajui maana ya silent drill
 
Maskini...hata nakusikitikia Hayo ni mambo ya kawaida kw nchi zinazopambana na magaidi...

Cheki huyo wa turkey wakiwa kule northern syria[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…