Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Mamlaka inayosimamia Huduma ya Umeme Nchini Kenya (The Kenya Power and Lighting Company PLC-Kenya Power) imetangaza tatizo la kukosekana kwa umeme katika maeneo mengi ya Nchi
Taarifa hiyo imetolewa na Kenya Power Saa 9:20 asubuhi ya leo Septemba 6, 2024 kuwa hitilafu itatokea katika maeneo mengi nchini lakini maeneo ya Kanda ya Magharibi na North Rift hayataathiriwa
Aidha Agosti 30, 2024, Kenya kulikuwa na tatizo la kukatika kwa umeme, ambapo sehemu kubwa ya nchi iliathirika isipokuwa maeneo ya North Rift na Kanda ya Magharibi.
Taarifa hiyo imetolewa na Kenya Power Saa 9:20 asubuhi ya leo Septemba 6, 2024 kuwa hitilafu itatokea katika maeneo mengi nchini lakini maeneo ya Kanda ya Magharibi na North Rift hayataathiriwa
Aidha Agosti 30, 2024, Kenya kulikuwa na tatizo la kukatika kwa umeme, ambapo sehemu kubwa ya nchi iliathirika isipokuwa maeneo ya North Rift na Kanda ya Magharibi.