Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh tz hatuna madada tuna wadangaj tu wajanja wanakimbia kuoa bongo
Haina mbaya kutanua uwanja, mambo ya gene pool hayo.inamaanisha hawa wasanii hawaoni mademu huku tz maana wote wanakimbilia ng'ambo
nakubali mkuu ila shida kumjua yupi n yupi otherwise [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Mmh! Labda hao wasanii wenzie Mkuu ndio tuseme ni wadangaji, sababu wanaoishi maisha nje ya Usanii wapo kibao ambao ni wife material Mkuu.
Na wadangaji hata uko nje ya Tanzania wamejaa tu Mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]duuuh tz hatuna madada tuna wadangaj tu wajanja wanakimbia kuoa bongo
Yes aoane na Shaka.Iv jokate ali achwa kumbe
Hahahaaaa miss usitake kuniambia umesahau au hujui?Hv Mombasa ni Kenya?