Kenya has less Paved Roads compared to Tanzania. (Kenya 44,100 km while Tanzania 85,000km)

mulisaaa njoo usomee shule za Kenya ama Uganda upunguze ujinga wako kama sio ule wa kuzaliwa.
Kenya hata siku moja hajawahi ingia akilini mwangu kama nchi..Kenya is zoo full of Monkeys....Nenda Uganda kuna shule Moja inaitwa Uganda Martrys Namugongo...Ulizia kama kuna Mtanzania anaitwa Finda aliwahi pita hapo in 99..
 
Last time data za mwaka gani...maana hua kuna mkeka wa 2014 ndio kulikua na 7600+kms lakini muda sasa umesogea barabara nyingi zimejengwa tayari..it's possible zimeshafika 12thou kwa mWaka huu

Poa ila kumbuka kupiga thao ya paved sio mchezo, inachukua hata zaidi ya mwaka. Yaani kama mumejituma sana labda leo hii muwe kwenye 12,000km
 
Poa ila kumbuka kupiga thao ya paved sio mchezo, inachukua hata zaidi ya mwaka. Yaani kama mumejituma sana labda leo hii muwe kwenye 12,000km
Jipe moyo ....Total ni 85,000km...Utalia sana mwaka huu😂😂😂😂Endelea kuji jibu😂😂😂
 
mulisaaa nimeulizia kwa rafiki yangu juu ya finda akaniambia alikuwa mwanafunzi bongolala kabisa, eti heri wazazi wangepeleka Ng'ombe hiyo shule badala yake finda.
 
Kuna ng'ombe ingine inaitwa joto la jiwe ilileta hiyo tweet kwengine nikaiambia inahitaji kuona daktari ikadhani nabisha tu. Yaani for somebody to believe Tz has 85k paved roads inafanya nishangae kama ushawai ingia darasani.
 
Wewe lia tu...Mimi source yangu ni total paved roads sio trunk roads..

Wewe itabidi watu wakupuuze maana aisei unayo matatizo seriously, sijui ulisomea shule gani na nitashangaa kama kuna Mtanzania humu atakusaidia kutetea huu uharo ulioleta
Kasome maana ya paved trunk road and unpaved trunk road...... paved trunk road ambayo unasema iko chini ya TANROAD ni kidogo sana.
Mimi nazungumzia kuhusu paved yote ya Tanzania sijui lini mulifikia 10,000km
 
Kuna ng'ombe ingine inaitwa joto la jiwe ilileta hiyo tweet kwengine nikaiambia inahitaji kuona daktari ikadhani nabisha tu. Yaani for somebody to believe Tz has 85k paved roads inafanya nishangae kama ushawai ingia darasani.

Hehehe yaani halafu utashangaa ndio wanategemewa na serikali kuitetea kwenye mitandao, elimu duni balaa.
 
Last time data za mwaka gani...maana hua kuna mkeka wa 2014 ndio kulikua na 7600+kms lakini muda sasa umesogea barabara nyingi zimejengwa tayari..it's possible zimeshafika 12thou kwa mWaka huu
Kwa hivo between 2014 na leo mmejenga 77,000km za barabara?
 
Zimeshafika 12thou
12,000 hazijafika. Kama unajua what it takes to construct a kilometre of new road utaelewa Kwa nini nchi kama Tanzania haiwezi jenga 4000km of new roads in 4 years.
 
12,000 hazijafika. Kama unajua what it takes to construct a kilometre of new road utaelewa Kwa nini nchi kama Tanzania haiwezi jenga 4000km of new roads in 4 years.
Hazipungui 10thou
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana.. mulisaa umewaweza leo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana.. mulisaa umewaweza leo

Walipeni walimu wenu mishahara ipasavyo, la sivyo huu ndio utaendelea kua mwendo, kujianika balaa, nafuu huwa mnatumia Kiswahili, hivyo aibu yenu inabaki humu humu, otherwise mngekua mnachekwa sana nyie.
 
Find the ratio with Square kilometres
 
Why not? Kama Selous GR 54,600 km² ni kubwa zaidi ya Uswissi 41,285 km² na ukubwa wa Denmark 42,924 km² ni kamkoa kwa Tanzania! Tanzania is 945,087 square km!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…