NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Hahaha.....FisiNi ya Kenya mami, njoo tupate ride ya kwanza mimi na wewe tokea Nairobi hadi Mambasani kula madafu na kuogelea.
Tatizo wakenya mnapenda sana mapicha...
Sasa cross country haiwezi kuwa light train? Wengine maboya tu.Virgin train UK ni cross county baba. Google uone network yao. Hiyo treni unayoiona hapo imetengenezwa Portugal. Guess nani anajenga first leg ya Tanzania sgr?
Hilo jina lako ni la Kimaasai??Ni SGR train ya wapi hiyo?
High Speed SGR Train on a Journey
Meli au boti..Achana na hiyo ,,Made in China" sisi tuna Made in Tanzania🙂! Hata hivyo nimependa huyo mradi wa SGR lkn muache sasa kumtukana Raisi Uhuru Kenya!
Sijui ila ni jina baba yangu alinipa. Baba yangu ni mwarusha wa Sanawari Arusha.Nikupe namba yake ya simu umwulize?Hilo jina lako ni la Kimaasai??
Baada ya hiyo statemenT nilinyamaza!Kama hauwezi Comprehend hiyo statemenT nyamaza
Da tan!!!
View attachment 477003
As others hate and comment on things they know nothing about, hapa tunajienjoy. Waiting for my first ride from Mombasa in June inshallah. Loving this project. Can't wait for it to start operations.Da tan!!!
View attachment 477003
Very beautiful and congrats to the Chinese for a job well executed. I saw somewhere in tz magufuli impounding passport of some project contractor. Wapi passport. Ichukue sasa hivi. When you see that, you appreciate the workmanship of the Chinese. Just on time.Da tan!!!
View attachment 477003
Wakenya mkimtupa Kenyatta, kwa sababu ya ukabila, mnataka kuwa kama Tz kimaendeleo. Kenyatta ameibadili Kenya kwa uwekezaji mkubwa ambao haujawahi fanyika toka Kenya ipate Uhuru.
Ningekua naruhusiwa , ningekuja nimpigia kura Kenyatta.
If that's chuma chakavu then it's the world's most beautiful chuma chakavu we've ever seen (you inclusive). Goosebumps!Chuma chakavu
Nipe nambaSijui ila ni jina baba yangu alinipa. Baba yangu ni mwarusha wa Sanawari Arusha.Nikupe namba yake ya simu umwulize?
Enda mbali na hiyo ujinga yako Kutoa Kenyatta Haina uhusuano wowote na Ukabila kalisha propaganda mazenseWakenya mkimtupa Kenyatta, kwa sababu ya ukabila, mnataka kuwa kama Tz kimaendeleo. Kenyatta ameibadili Kenya kwa uwekezaji mkubwa ambao haujawahi fanyika toka Kenya ipate Uhuru.
Ningekua naruhusiwa , ningekuja nimpigia kura Kenyatta.
Ushawai ona chuma chakavu ambacho kina driver's cabin kama hii?Chuma chakavu
Hii yenu ni chuma chakavu.Ushawai ona chuma chakavu ambacho kina driver's cabin kama hii?