Vivid Reality
Member
- Jul 21, 2017
- 19
- 9
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwenu maneno kama buku jero ni Kiswahili? Au mdingi n.k.Huo upuuzi uishie huko huko usije huku
Hizo ni rejesta na misimu ambazo hutumika na kundi fulani la watu,pia yanaweza kuwa lugha rasmi pale yanapotumika mara nyingi na watu wengi mfano kuna maneno kama kasheshe ambayo yalitokea huko huko lakini muda huu ni maneno rasmi.Hivi kwenu maneno kama buku jero ni Kiswahili? Au mdingi n.k.
Kizungu ni lugha gani hiyo? Wazungu wanazungumza lugha tofauti tofauti, wengine kiingereza, kijerumani, kiitaliano, kifaransa nk. Sasa hicho kizungu sijawahi kusikia.Unasema hivi kwa dhana kuwa kuna wakenya wanazungumza kiswahili tu, wengine sheng, na wale wengine kizungu.
Haikuingilii akilini ya kwamba karibu wote wana uwezo wa kuzungumza lugha zote tatu na zaidi (pamoja na lugha za asila, French, German, Chinese, Arabic nk) kwa ufasaha. Sasa hapo shida ya utangamano itatokea wapi?
Nchi kujikita katika lugha moja sio njia ua kuleta muungano. Mbona Somalia iko katika hali hii, ama zile nchi mashariki ya kati- kule uarabuni yenye misuko suko?
Kwanini mataifa mengi Uropa kama Sweden, Austria na hata Uingereza, na nchi kama India zina malugha kadhaa rasmi na bado zina muungano dhabiti ya utaifa?
Hapa Africa, nchi kama South Africa ina malugha kama kenda rasmi kikatiba, na ni taifa moja.
Kuna masuala zaidi ya lugha inayofanya nchi kuungana ama kutumbukia katika misuko suko.
Nikikuomba unipe angalau nchi moja ambayo imewahi kuingia katika virugu juu ya lugha, sidhani utapata mfano hata moja.
Hiyo ni misimu inakuja na kupotea kulingana na wakati.Misimu ipondani ya lugha ya kiswahili ilasema yenyewe inakujanakupotea kulingana na wakati.