Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza ufarisayo.Kama Samia ndo anakutana na nyuzi kama hizi kwa 'home of great thinkers' basi atakua anatuona wa tz mabwege sana, sijaelewa hata mantiki ya huu uzi
Tatizo lako na huu Uzi ni moja tu, HUNA GARI [emoji28]Kama Samia ndo anakutana na nyuzi kama hizi kwa 'home of great thinkers' basi atakua anatuona wa tz mabwege sana, sijaelewa hata mantiki ya huu uzi
Ni kitu hicho hicho ila hawa wameweka the other way round!Number kama zimeandikwa na mtoto wa kindergarten!!? Nipo hapa Kawe roundabout naongozana na Gari ya huko kwenu, nimeona aibu mimi Mtanzania kwa niaba yenu.
Ona hapo number plate ya Tz.
Way forward
- Tutawaazima kampuni iwapee vimbao mbora View attachment 2542058View attachment 2542059
Is this a serious thread..!!??Number kama zimeandikwa na mtoto wa kindergarten!!? Nipo hapa Kawe roundabout naongozana na Gari ya huko kwenu, nimeona aibu mimi Mtanzania kwa niaba yenu.
Ona hapo number plate ya Tz.
Way forward
- Tutawaazima kampuni iwapee vimbao mbora View attachment 2542058View attachment 2542059
sawa tumeuona mgari wakoNumber kama zimeandikwa na mtoto wa kindergarten!!? Nipo hapa Kawe roundabout naongozana na Gari ya huko kwenu, nimeona aibu mimi Mtanzania kwa niaba yenu.
Ona hapo number plate ya Tz.
Way forward
- Tutawaazima kampuni iwapee vimbao mbora View attachment 2542058View attachment 2542059
alitaka kuonesha nae ana kigariIs this a serious thread..!!??
😅😂🤣Mdogomdogo kafoleni Kawawa kanasogea