Katika kitu siwezi jivunia ni kumiliki gari, nilianza kumilika gari 10 years ago nikiwa bado chuo kijanaTatizo lako na huu Uzi ni moja tu, HUNA GARI [emoji28]
Mbona hii ni ya kidukuliloMkuu DYP yangu imefata nn hapa tena??
weka LINK boss tuisome hiyo habari
Kani zuzu sa mbovu kapata akiliKama Samia ndo anakutana na nyuzi kama hizi kwa 'home of great thinkers' basi atakua anatuona wa tz mabwege sana, sijaelewa hata mantiki ya huu uzi