Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Jumuiya ya wamiliki wa Baa, Hoteli na Maduka ya Vileo (BAHLITA) wamekubali muongozo wa serikali wa kutotoa huduma kwa wasiokuwa na uthibitisho kuwa wamepata chanjo
BAHLITA walipokea ujumbe kutoka Wizara ya Afya ikiwataka kutotoa huduma kwa mtu asiye na cheti cha kupata chanjo hivyo hawapingana na serikali
Aidha, uthibitisho wa kupata chanjo utahitajika kwenye usafiri wa umma, Hifadhi za Taifa na huduma nyingine za kijamii
#JamiiForums #UVIKO3
BAHLITA walipokea ujumbe kutoka Wizara ya Afya ikiwataka kutotoa huduma kwa mtu asiye na cheti cha kupata chanjo hivyo hawapingana na serikali
Aidha, uthibitisho wa kupata chanjo utahitajika kwenye usafiri wa umma, Hifadhi za Taifa na huduma nyingine za kijamii
#JamiiForums #UVIKO3