sipati picha kitu kama hicho hapo juu kikajengwa pande za ubungo na tazara,ni kuteleza tu gongolamboto-posta dakika ishirini inawezekana kimara posta hivyo hivyoKweli wanastahili pongezi.
Screen-shots of both renders and the site from citizen and NTV videos:
Sisi ni wataalamu wa longo longo!
Sisi viongozi wetu wako busy kuiba hata hawafikirii wakistaafu watapitaje mitaani!
Taarifa za kiintelejensia Kenya hawana uwezo wa kuwa na kinu cha Umeme wa Nuklia. Uwezo ambao Kenya hawana ni wa kitaalamu, kiuchumi, miundombinu(miundomsingi) na usalama.
Hivyo hii habari ni kawaida Kenya kujiona wapo matawi ya juu wakati wanajua hizo ni ndoto za mchana.
Mkuu nakubaliana nawewe, pia hawana Uranium.. South Africa wameweza kwakuwa wanayo Uranium, Miundombinu, pesa, usalama, na utalaam wa kutosha. Kenya hawana vyote hivyo...
Kwanza ukiangalia huo bado ni mradi mdogo ukilinganisha na hii:
Mchuchuma ($3 Billion): (Coal)
allAfrica.com: Tanzania: TZ-China in Sh4 Trillion Mchuchuma Talks
Stiegler gorge ($ 2.2 Billion)πHydro)
International Rivers: Tanzania: Brazil to build Stiegler's Gorge
Haya bado kuna mingine midogomidogo:
NSSF-Songosongo (Gas)
allAfrica.com: Tanzania: NSSF Set to Pour Funds in Electricity Generation
SinoTan-Makambako (Wind)
Tanzania To Harness Wind Power To Ease Electricity Shortage-Paper
Chae's group-Singida (Wind)
Tanzania - 210-megawatt wind energy farm to be built in the Singida region, 2009-03-25 | www.windfair.net news
Na bado hatujajua hawa waRusi wa ROSATAM (tafadhali sio Rostam) kama wanaweza pia kujenga kinu cha umeme wa nyuklia hapa:
Rosatom Agrees to Buy Mantra for $1.2 Billion to Gain Uranium in Tanzania
Kwasababu wabunge wa CCM Dodoma walishaamua toka 2003 wakishindwa 2015 CDM watatekeleza hii kitu:
Tanzania turns to nuclear power - SciDev.Net
allAfrica.com: Tanzania: Dar to Go Nuclear with Uranium Mining
Tanzania pins its hopes on nuclear power generation
Au hawa makaburu:
allAfrica.com: Tanzania: SA Firm Pitches to Build Dar Nuclear Power Plant
Kwa kifupi ni Tanzania ndio itakuwa ya kwanza kuwa na umeme wa nyuklia katika Jumuia ya Afrika Mashariki na si nchi nyingine yeyote jirani (Ukiondoa DRC)...
Mkuu nakubaliana nawewe, pia hawana Uranium.. South Africa wameweza kwakuwa wanayo Uranium, Miundombinu, pesa, usalama, na utalaam wa kutosha. Kenya hawana vyote hivyo...
Kwanza ukiangalia huo bado ni mradi mdogo ukilinganisha na hii:
Mchuchuma ($3 Billion): (Coal)
allAfrica.com: Tanzania: TZ-China in Sh4 Trillion Mchuchuma Talks
Stiegler gorge ($ 2.2 Billion)πHydro)
International Rivers: Tanzania: Brazil to build Stiegler's Gorge
Haya bado kuna mingine midogomidogo:
NSSF-Songosongo (Gas)
allAfrica.com: Tanzania: NSSF Set to Pour Funds in Electricity Generation
SinoTan-Makambako (Wind)
Tanzania To Harness Wind Power To Ease Electricity Shortage-Paper
Chae's group-Singida (Wind)
Tanzania - 210-megawatt wind energy farm to be built in the Singida region, 2009-03-25 | www.windfair.net news
Na bado hatujajua hawa waRusi wa ROSATAM (tafadhali sio Rostam) kama wanaweza pia kujenga kinu cha umeme wa nyuklia hapa:
Rosatom Agrees to Buy Mantra for $1.2 Billion to Gain Uranium in Tanzania
Kwasababu wabunge wa CCM Dodoma walishaamua toka 2003 wakishindwa 2015 CDM watatekeleza hii kitu:
Tanzania turns to nuclear power - SciDev.Net
allAfrica.com: Tanzania: Dar to Go Nuclear with Uranium Mining
Tanzania pins its hopes on nuclear power generation
Au hawa makaburu:
allAfrica.com: Tanzania: SA Firm Pitches to Build Dar Nuclear Power Plant
Kwa kifupi ni Tanzania ndio itakuwa ya kwanza kuwa na umeme wa nyuklia katika Jumuia ya Afrika Mashariki na si nchi nyingine yeyote jirani (Ukiondoa DRC)...
.......kwa story kama hizi ndio maana mnachakachuliwa
Hiyo miradi yote inategemea time frame yake ya utekelezaji mkuu, pengine tusiwe wa kwanza maana tuna usiri mkubwa kwenye miradi yenye manufaa kuliko ya ufisadi.