Kenya imeamua Somalia ikimwaga mboga basi Kenya itamwaga Ugali

Kenya imeamua Somalia ikimwaga mboga basi Kenya itamwaga Ugali

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Wiki iliyopita Somalia iliamua kufurusha Balozi wa Kenya nchini humo kwa madai kuwa Kenya ina interfere na siasa ya Somalia. Sasa kwa sababu Somalia ndio wamelianzisha basi sisi tunalipiza tu mapigo.

Sasa Kenya imealika President wa Somaliland kuja Kenya on a state visit. Hakuna nchi yoyote inayotambua Somaliland kwa hivyo rais wa Somaliland kualikwa rasmi na Kenya ni message nzito sana kwa Somalia.

 
Kenya hii mambo itawaharibia. Hamuwezi kuingia ktk mgogoro mzito kiwepesi namna hiyo hebu fanyeni kumuomba kikwete awasuruhishe kabla mambo hayajaharibika sana. Wote tunajua mnashida na alshabaab na sasa ni gvt ya Somali yote hapo mnawapa shabaab justification ya kuwapiga na Somali gvt kuwasaidia koz wote wale ni Wasomali. Mbaya zaidi mnaenda ktk uchaguzi ambao utawafanya kuwa na usalama mdogo na njaa inaweza kuzuka tena fikirini vizuri majirani.
 
Kenya hii mambo itawaharibia. Hamuwezi kuingia ktk mgogoro mzito kiwepesi namna hiyo hebu fanyeni kumuomba kikwete awasuruhishe kabla mambo hayajaharibika sana. Wote tunajua mnashida na alshabaab na sasa ni gvt ya Somali yote hapo mnawapa shabaab justification ya kuwapiga na Somali gvt kuwasaidia koz wote wale ni Wasomali. Mbaya zaidi mnaenda ktk uchaguzi ambao utawafanya kuwa na usalama mdogo na njaa inaweza kuzuka tena fikirini vizuri majirani.
Asante kwa advice yako lakini usiwe na woga. Haka Kasomalia tutakanyorosha tu.
 
Asante kwa advice yako lakini usiwe na woga. Haka Kasomalia tutakanyorosha tu.
Jamaa wanafanyia kampeni zao za uchaguzi mkuu wa Feb. 2021 jijini Nairobi. Wagombea wote wa kiti cha uraisi wapo jijini Nairobi kwenye vikao na wafuasi wao, ambao ni wabunge nchini Somalia . Rais wa Jubaland Sheikh Ahmed, almaarufu Madobe, amekuwepo jijini Nairobi kwa muda sasa. Rais wa Puntland naye Said Deni yupo Nairobi pia. Rais wa Somaliland Muse Abdi ndio huyu amewasili Nairobi kwa ziara rasmi. Farmaajo yupo ndani ya ikulu,Villa Somaaliya, kule Mogadishu akibweka bweka chini ya ulinzi mkali wa AMISOM na amesahau kwamba uungwaji mkono wa GOK ndio ulifanya akawa rais. Cha ajabu ni kwamba kelele zote hizi za uchaguzi mkuu zikiisha vikao vya bunge lao wataendelea kuvifanyia kimya kimya jijini Nairobi, kama kawa. Somalia presidential campaigns shift to Nairobi ahead of major showdown
 
Kenya hii mambo itawaharibia. Hamuwezi kuingia ktk mgogoro mzito kiwepesi namna hiyo hebu fanyeni kumuomba kikwete awasuruhishe kabla mambo hayajaharibika sana. Wote tunajua mnashida na alshabaab na sasa ni gvt ya Somali yote hapo mnawapa shabaab justification ya kuwapiga na Somali gvt kuwasaidia koz wote wale ni Wasomali. Mbaya zaidi mnaenda ktk uchaguzi ambao utawafanya kuwa na usalama mdogo na njaa inaweza kuzuka tena fikirini vizuri majirani.
tukisema intel ya kenya ni utumbo wa kobe tunaonekana haters[emoji41][emoji41][emoji41].
 
Magufuli tangaza kuunga mkono Samalia kijeshi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom