Tanzania hata Uganda!Wengine ni akina nani? Tupe mfano.
Wanaonea dagaa,kambale hawatugusiMnaweza kuwamwagia ugali Somalia peke yao, kwa wengine huwaga mnafyata kama mbwa mwoga.
Asante kwa advice yako lakini usiwe na woga. Haka Kasomalia tutakanyorosha tu.Kenya hii mambo itawaharibia. Hamuwezi kuingia ktk mgogoro mzito kiwepesi namna hiyo hebu fanyeni kumuomba kikwete awasuruhishe kabla mambo hayajaharibika sana. Wote tunajua mnashida na alshabaab na sasa ni gvt ya Somali yote hapo mnawapa shabaab justification ya kuwapiga na Somali gvt kuwasaidia koz wote wale ni Wasomali. Mbaya zaidi mnaenda ktk uchaguzi ambao utawafanya kuwa na usalama mdogo na njaa inaweza kuzuka tena fikirini vizuri majirani.
Jamaa wanafanyia kampeni zao za uchaguzi mkuu wa Feb. 2021 jijini Nairobi. Wagombea wote wa kiti cha uraisi wapo jijini Nairobi kwenye vikao na wafuasi wao, ambao ni wabunge nchini Somalia . Rais wa Jubaland Sheikh Ahmed, almaarufu Madobe, amekuwepo jijini Nairobi kwa muda sasa. Rais wa Puntland naye Said Deni yupo Nairobi pia. Rais wa Somaliland Muse Abdi ndio huyu amewasili Nairobi kwa ziara rasmi. Farmaajo yupo ndani ya ikulu,Villa Somaaliya, kule Mogadishu akibweka bweka chini ya ulinzi mkali wa AMISOM na amesahau kwamba uungwaji mkono wa GOK ndio ulifanya akawa rais. Cha ajabu ni kwamba kelele zote hizi za uchaguzi mkuu zikiisha vikao vya bunge lao wataendelea kuvifanyia kimya kimya jijini Nairobi, kama kawa. Somalia presidential campaigns shift to Nairobi ahead of major showdownAsante kwa advice yako lakini usiwe na woga. Haka Kasomalia tutakanyorosha tu.
Si nyinyi juzi ndo mlikuwa mnalia eti Nis Wana ingilia uchaguzi wa Tanzania?ππ.Mnaweza kuwamwagia ugali Somalia peke yao, kwa wengine huwaga mnafyata kama mbwa mwoga.
Utasikia zombie la sisiemu na macho yake mekundu likikuambia kwamba jamaa flani hivi anaitwa Kigogo ni jasusi wa Kenya. Kwasababu eti ana bendera ya Kenya kwenye profile yake ya twitter. πSi nyinyi juzi ndo mlikuwa mnalia eti Nis Wana ingilia uchaguzi wa Tanzania?
Ongeza EthiopiaTanzania hata Uganda!
tukisema intel ya kenya ni utumbo wa kobe tunaonekana haters[emoji41][emoji41][emoji41].Kenya hii mambo itawaharibia. Hamuwezi kuingia ktk mgogoro mzito kiwepesi namna hiyo hebu fanyeni kumuomba kikwete awasuruhishe kabla mambo hayajaharibika sana. Wote tunajua mnashida na alshabaab na sasa ni gvt ya Somali yote hapo mnawapa shabaab justification ya kuwapiga na Somali gvt kuwasaidia koz wote wale ni Wasomali. Mbaya zaidi mnaenda ktk uchaguzi ambao utawafanya kuwa na usalama mdogo na njaa inaweza kuzuka tena fikirini vizuri majirani.
hakuna nchi dhaifu,since wanakaa watu ni ya kuigopa.Asante kwa advice yako lakini usiwe na woga. Haka Kasomalia tutakanyorosha tu.