Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Waambie hao Chadema kuwa siasa za kihuni zimepitwa na muda na sasa wamuombe msamaha mama yetu Rais Samia.
Ambaye angemsumbua Rais Samia kwenye Uchaguzi wa mwaka jana 2020 labda yule mama Merkel wa ujerumani tu.
 
Rais Samia ni mbeba maono Kwa jinsi uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa kasi hadi 2025 tutakuwa tumeipiku south Africa.
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
 
Kwa hivyo tanzania kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi bado wamelala usingizi mzito Eti? kazi yao kubwaaa ni kutengeneza hujuma za hapa ndani na kufuatilia mambo ya viongozi na si maslahi ya uchumi wetu ngoja kenya awanyooshe sasa
 
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Samia na JPM wakitutetea sisi wanyonge.
 
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Samia na JPM wakitutetea sisi wanyonge.
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
 
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia vema mama yetu.
 
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia vema mama yetu.
Ccm haiwezi kuiba kura 2025. Rais Samia anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha mzee Lowasa na huyo msaliti wa Nchi Tundu Lissu.
 
Ccm haiwezi kuiba kura 2025. Rais Samia anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha mzee Lowasa na huyo msaliti wa Nchi Tundu Lissu.
Rais Samia hata asipopiga kampeni mwaka 2025 ushindi ni 98% Ila Rais lazima awatembelee Wananchi wake kuonyesha heshima. Samia ooyeeeee.
 
Rais Samia hata asipopiga kampeni mwaka 2025 ushindi ni 98% Ila Rais lazima awatembelee Wananchi wake kuonyesha heshima. Samia ooyeeeee.
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal.
 
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal.
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
 
Long live samia Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…