Kenya imegundua mdudu anayekula Plastiki

Kenya imegundua mdudu anayekula Plastiki

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
1_20241115_202950_0000.png



Wana sayansi toka nchi ya kenya wameweza kugundua vijidudu wadogo wadogo ambavyo vinaweza kuharibu polystyrene, plastiki yoyote kwa usaidizi wa bakteria wa tumboni.

2_20241115_202950_0001.png


Madaktari hao wamegundua njia hiyo ili kuweza ku control mifumo ya kudhibiti taka za plastiki kwenye jamii ya watu wa Kenya, hii ndo mara ya kwanza kwa mdudu asilia barani Afrika kupatikana akivunja vunja Plastiki na kuzila.

3_20241115_202950_0002.png


Timu kutoka katika kituo cha kimataifa cha physiology na Ecology ya wadudu nchini Kenya inatarajia kutenga vijidudu na vimengenywa kadhaa kuweza kuendelea shughuli ya kupunguza taka za plastiki.
 
Au ndiyo yale yale ya kuleta kunguru nchini, leo imekuwa kero kwa uharibifu.
 
View attachment 3153179


Wana sayansi toka nchi ya kenya wameweza kugundua vijidudu wadogo wadogo ambavyo vinaweza kuharibu polystyrene, plastiki yoyote kwa usaidizi wa bakteria wa tumboni.

View attachment 3153180

Madaktari hao wamegundua njia hiyo ili kuweza ku control mifumo ya kudhibiti taka za plastiki kwenye jamii ya watu wa Kenya, hii ndo mara ya kwanza kwa mdudu asilia barani Afrika kupatikana akivunja vunja Plastiki na kuzila.

View attachment 3153181

Timu kutoka katika kituo cha kimataifa cha physiology na Ecology ya wadudu nchini Kenya inatarajia kutenga vijidudu na vimengenywa kadhaa kuweza kuendelea shughuli ya kupunguza taka za plastiki.
Je hawana madhara kama wakikosa plastic?
 
Je hawana madhara kama wakikosa plastic?
.kuu wanasayansi wanahatati. Nimeona .ja uou tube wanasayansi wame clone flami go na chicken. Ndege alietoka hapo sojuo kama hatatutafuna. Tunaunda vitu vitakavyokuja kutugeuka.
 
.kuu wanasayansi wanahatati. Nimeona .ja uou tube wanasayansi wame clone flami go na chicken. Ndege alietoka hapo sojuo kama hatatutafuna. Tunaunda vitu vitakavyokuja kutugeuka.
Vitu vingi si vya asilia na unavitumia ikiwemo strawberries, viazi vitamu si vitu asilia hivyo
 
Back
Top Bottom