Kenya imekuwa kimbilio la Wakimbizi kwa muda mrefu

Kenya imekuwa kimbilio la Wakimbizi kwa muda mrefu

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Wale malazy wanaopenda kuropokwa kwamba Wakenya wana roho mbaya na kwamba hatusaidii majirani, nataka leo mtazame hapa muone jinsi nchi yetu ndio kimbilio la wakimbizi kutoka Sudan Kusini na Somalia. Kenya na Uganda ndio nchi zinazopokea wakimbizi wengi Africa. Watanzania nyie ndio mna roho mbaya.

Halafu kumbe nchi za kiarabu ndizo zinapokea wakimbizi wengi duniani. Mimi nilidhani kwamba nchi za kiafrika ndizo zinapokea wakimbizi wengi zaidi. Hio ni kumaanisha kwamba waarabu wanapigana hata kushinda waafrika. Halafu nchi inayoitwa Jordan ni kanchi kadogo ila kanapokea wakimbizi wengi sana nadhani kutoka Palestine. Turkey nao wanapokea wakimbizi wengi kutoka Syria.



Hapa Tanzania hawapo kwenye list ya nchi zinazopokea wakimbizi wengi. Huwa mnafunga border haraka. Hata mlikataa kupokea wakimbizi kutoka Burundi. Tazama Kenya na Uganda tulivyo na roho safi. Uganda wanapokea Wakimbizi kutoka Sudan Kusini.

Screenshot_20210304-125045.jpg


Tanzania wacheni kuwa na roho mbaya.
 
Sasa wewe pokea tu si unalipwa bhn kelele za nini humu.
 
Tumewasaidia jirani zetu kuwa amani

Msumbiji, Rwanda, Burundi, Kongo, Uganda. Wakimbizi pekee tunawasumbili wakati uchaguzi wakikuyu vs wajaluo
Wakamba vs Wakalenjin Nk.

Unataka tupate wakimbizi toka South Sudan au somalia yaani huna akili hatuna mipaka nao. Kuna wasomalia waliokuja na tumewapa uraia hata warundi bila usumbufu.

Jordan nchi ndogo inapokea wakimbizi wengi kwasababu nchi tajiri za gulf haziko tayari kuwapokea asilani.
 
Back
Top Bottom