Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Kulingana na taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya nchini humo, chanjo hiyo itatolewa katika kaunti nane: Homa Bay Kisumu, Migori, Siaya, Busia, Bungoma, Vihiga na Kakamega
Kenya inakuwa nchi ya tatu barani Afrika baada ya Ghana na Malawi kuzindua chanjo hii na kulingana na Wizara, chanjo hiyo itaongezewa kwenye ratiba ya chanjo kwa watoto nchini humo
============================
According to the ministry of Health, the vaccine will be rolled out in eight counties: Homa Bay Kisumu, Migori, Siaya, Busia, Bungoma, Vihiga and Kakamega.
Kenya becomes the third country in Africa after Ghana and Malawi to launch this vaccine. According to the ministry of Heath, the vaccine will be added to the immunisation schedule for Kenyan children.
More than 300,000 children are expected to be vaccinated in the next three years. It will be given to children aged six, seven, nine and 24 months
Kenya inakuwa nchi ya tatu barani Afrika baada ya Ghana na Malawi kuzindua chanjo hii na kulingana na Wizara, chanjo hiyo itaongezewa kwenye ratiba ya chanjo kwa watoto nchini humo
============================
According to the ministry of Health, the vaccine will be rolled out in eight counties: Homa Bay Kisumu, Migori, Siaya, Busia, Bungoma, Vihiga and Kakamega.
Kenya becomes the third country in Africa after Ghana and Malawi to launch this vaccine. According to the ministry of Heath, the vaccine will be added to the immunisation schedule for Kenyan children.
More than 300,000 children are expected to be vaccinated in the next three years. It will be given to children aged six, seven, nine and 24 months