Tetesi: Kenya imepotezwa na deni lake haliwezi kulipwa leo wala kesho.

Tetesi: Kenya imepotezwa na deni lake haliwezi kulipwa leo wala kesho.

sido9797

Senior Member
Joined
Aug 15, 2018
Posts
160
Reaction score
84
Kwanza napenda kutoa sifa za nchi za CAPITALISM
1. Exploitative(unyonyaji)
2.Unequal exchange(mgawanyo usio sawa)
3.classes(matabaka)
4.major means of production are owned by private sector.
N.k
Carl marx anakubaliana na theory isemayo "capitalist never work for loss"
Bado nasikitika sana kwa kweli na ninaumia kuelezea haya:-
Uamuzi wa kuachana na china na kujiunga ghafla na marekani nchi iliyo chini ya donald trump ni uamuzi wa kipekee uliofanywa na marais watatu tu mpaka sasa kutoka africa. Kuna mzimbabwe,ghana na kenya .
Niseme hivi china imechangia kwa asilimia kubwa katika maendeleo ya bara la africa kwa kadiri ya maisha ya watu wa africa bila ubaguzi,kunyanyapawa,kusimangwa,kupelekeshwa tena kwa mikataba ya kuelewana pande zote au wanasema in a win win situation. Mfano wa nchi hizo ni kenya,zambia,tanzania,Mozambique,malawi ambazo zimeingia mkataba na china n.k hizi ni nchi baazi tu ambazo ujenzi wa miundo mbinu yake imefanywa na china kwa moyo mmoja.
Lakini sasa kenya Tumesahau ufadhili huu na kujikuta tunaenda kwa trump ambae anasema hivi "america first"then other countries [emoji24] yani kwa kila analofanya anaitanguliza kwanza marekani lakini kenya tumeweka mkataba na marekani kwa kweli sijui kama tupo salama.
Sasa tatizo linakuja wapi? hizi pesa za marekani anazowekeza kwa ujenzi wa barabara ni bureeeee kweli zinakuja, bado hatujalipa mabillion ya china je kuna usalama hapo baadae(america & china)are enemies .
Licha ya hayo trump alisema africa it should be dominated au ndo wameanza tayari na hizo nchi ambazo marais wameanza kuenda ,trump ameshasema kauli nyingi chafu kwa ajili ya sisi waafrika lakini viongozi wanakumbuka maneno yake ya kibaguzi na kupata moyo na kumfata awape msaada ili waendeleze nchi zao kwa kweli hii ni hatarii .THINK BIG.
tapatalk_1535620425749.jpeg
tapatalk_1535620405338.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza napenda kutoa sifa za nchi za CAPITALISM
1. Exploitative(unyonyaji)
2.Unequal exchange(mgawanyo usio sawa)
3.classes(matabaka)
4.major means of production are owned by private sector.
N.k
Carl marx anakubaliana na theory isemayo "capitalist never work for loss"
Bado nasikitika sana kwa kweli na ninaumia kuelezea haya:-
Uamuzi wa kuachana na china na kujiunga ghafla na marekani nchi iliyo chini ya donald trump ni uamuzi wa kipekee uliofanywa na marais watatu tu mpaka sasa kutoka africa. Kuna mzimbabwe,ghana na kenya .
Niseme hivi china imechangia kwa asilimia kubwa katika maendeleo ya bara la africa kwa kadiri ya maisha ya watu wa africa bila ubaguzi,kunyanyapawa,kusimangwa,kupelekeshwa tena kwa mikataba ya kuelewana pande zote au wanasema in a win win situation. Mfano wa nchi hizo ni kenya,zambia,tanzania,Mozambique,malawi ambazo zimeingia mkataba na china n.k hizi ni nchi baazi tu ambazo ujenzi wa miundo mbinu yake imefanywa na china kwa moyo mmoja.
Lakini sasa kenya Tumesahau ufadhili huu na kujikuta tunaenda kwa trump ambae anasema hivi "america first"then other countries [emoji24] yani kwa kila analofanya anaitanguliza kwanza marekani lakini kenya tumeweka mkataba na marekani kwa kweli sijui kama tupo salama.
Sasa tatizo linakuja wapi? hizi pesa za marekani anazowekeza kwa ujenzi wa barabara ni bureeeee kweli zinakuja, bado hatujalipa mabillion ya china je kuna usalama hapo baadae(america & china)are enemies .
Licha ya hayo trump alisema africa it should be dominated au ndo wameanza tayari na hizo nchi ambazo marais wameanza kuenda ,trump ameshasema kauli nyingi chafu kwa ajili ya sisi waafrika lakini viongozi wanakumbuka maneno yake ya kibaguzi na kupata moyo na kumfata awape msaada ili waendeleze nchi zao kwa kweli hii ni hatarii .THINK BIG.View attachment 851257View attachment 851258

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Red carpet hua ni ya mgeni au ya mwenyeji???
 
Kenya imetusaidia kujuwa nini kinaweza kutokea huko mbele. Africa inaweza kuwa nyumba ya vita kubwa kuliko yote iliyowahi kutokea. Ukiangalia rasilimali wanazo zitaka ni dhahiri kunajambo nyuma ya pazia. Kama kenya ilivyo jiingiza kichwa-kichwa kwa mchina, ndio hivyo hivyo imeamza kwenda kwa Mmarekani. Achama na kauli ya Kenyatta inayosema Win Win, huwezi kuwa na win win wakati mwezako anauza kwako zaidi unavyouza kwake. Agalia Trump anavyogomba na China na EU sababu ni hiyo hiyo trade imbalance.
 
Hivi Red carpet hua ni ya mgeni au ya mwenyeji???
Inategemea imewekwa kwa ajli ya nini, kwa ni kwa ajili ya kutembea, inakuwa ya mgeni kama ni kwa ajili yakusimama, ni ya mgeni na mwenyeji wake. Hiyo katika picha, imewekwa kwa ajili ya kutembea kuingia ndani ya jengo, sasa hapo inavyoonekana mgeni alishapita kwenye hiyo carpet kaingia ndani, then wametoka kwa ajili ya picha. Hebu angalieni vitu vikubwa kuliko hivyo vidogo, nani anakula carpet ?
 
hahahaha mbona swala hio linawasumbua wenzetu sana?
Mwezi huu watafungua nyuzi kwa wingi ila itafika mahali watoroke miradi inapoendelea kuongozeka...40 floor Nrb na haijamalizika lakini washanyamaza kazi ni kuishobokea na mipovu haiishi.
 
Mwezi huu watafungua nyuzi kwa wingi ila itafika mahali watoroke miradi inapoendelea kuongozeka...40 floor Nrb na haijamalizika lakini washanyamaza kazi ni kuishobokea na mipovu haiishi.
😀😀
 
Yani umeshidwa kuchangia umebaki unapiga mayowe.
Niliingia Tz hadi Arusha mwezi uliopita... nikawa nimesahau ku exchange cash kwa forex hapo kwa border... kuna jamaa humo mitaani kazi yao ni kuotea watu kama sisi lakini yeye exchange rate yake iko standard bado ni exchange rate ya kitambo sana... kwavile huna budi unabidi ukubali tu. huyo jamaa anatengeneza super profits kwa shida za watu. ..

My point is.... Tanzania practices capitalsm just as much as Kenya.... Remember Kenya is also not pure capitalsm..it is some form of hybrid . as things like health, fertilizer, Gas... etc are subsidezed by GoK ...



Kwahivyo mnachekesha mkianza kupiga story za sijui capitalism vs socialsm..... Hata china wenyewe ni hybrid sikuhizi
 
Niliingia Tz hadi Arusha mwezi uliopita... nikawa nimesahau ku exchange cash kwa forex hapo kwa border... kuna jamaa humo mitaani kazi yao ni kuotea watu kama sisi lakini yeye exchange rate yake iko standard bado ni exchange rate ya kitambo sana... kwavile huna budi unabidi ukubali tu. huyo jamaa anatengeneza super profits kwa shida za watu. ..

My point is.... Tanzania practices capitalsm just as much as Kenya.... Remember Kenya is also not pure capitalsm..it is some form of hybrid . as things like health, fertilizer, Gas... etc are subsidezed by GoK ...



Kwahivyo mnachekesha mkianza kupiga story za sijui capitalism vs socialsm..... Hata china wenyewe ni hybrid sikuhizi
No country in the world at this day and age survive with one system, not even US. Obama care had an element of socialism, Euro is even more socialist with social health care and free education and low income family subsidies with their housing etc.

With both systems starting to be embraced with every country we should be careful with the fight for dominance. Before you could easily run n hide behind one camp. But now is different, all big boys are searching for their survival, and most what their looking for is in Africa from resources to food to man power.
 
Back
Top Bottom