Kenya imethibitisha visa vipya 28 vya Covid-19 na kufanya visa kufikia 649, pia imetangaza kifo 1

Kenya imethibitisha visa vipya 28 vya Covid-19 na kufanya visa kufikia 649, pia imetangaza kifo 1

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1589030928352.png

Idadi ya visa vya Corona nchini kenya imefikia 649 baada ya kutangazwa kesi mpya 28.

Katika kesi hizo 28, watu 10 ni kutoka Mombasa, 9 kutoka Nairobi, 4 kutoka Migori, 2 kutoka Kajiado na mmoja mmoja kutoka Machakos, Kiambu na Homa Bay.

Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa na Waziri wa Afya Dr. Rashid Amani, alisema kuwa kati ya visa hivyo 28, watu 24 ni raia wa Kenya na 4 ni raia wa Tanzania na visa hivyo vilipatikana baada ya kupima watu 1611.

Wakati huo huo watu 5 wameruhusiwa kutoka hospital na kufanya idadi ya waliopona kufikia watu 207. Pia mmoja amefariki na kufanya idadi ya vifo kufikia 30.

==========

The number of coronavirus cases in Kenya has risen to 649 after 28 more patients tested positive for Covid-19.

Out of the 28 new cases, 10 are from Mombasa, nine from Nairobi, four from Migori, two from Kajiado and one each in Machakos, Kiambu and Homa Bay.

In a press briefing on Friday, Health Ministry CAS Dr. Rashid Aman said the 28 new cases — 24 Kenyans and 4 foreigners from Tanzania — were confirmed following the testing of 1611 samples.

In Nairobi, the cases are distributed as follows: Embakasi (3), Eastleigh (2), Kayole (1), Huruma (1), South B (1), Kawangware (1). In Mombasa, four cases are from Mvita, Nyali (4) and Likoni (2).

At the same time, five more patients have since been discharged bringing the total number of recoveries to 207. One more patient has also succumbed to the disease, bringing the number of fatalities to 30.

The Health Ministry noted that the country has so far tested a total of 31,041 samples for Covid-19.
 
Kupiga raia viboko mpaka kuwaua na kuchana chupi za akina mama,lock down,curfew na mass testing havijasaidia tu?
 
Kupiga raia viboko mpaka kuwaua na kuchana chupi za akina mama,lock down,curfew na mass testing havijasaidia tu?
KAma nchi zengine zinaongeza wagonjwa 10,000 kila siku kwa wiki nzima na sisi hali si hio utasema sababu ni nini?
 
KAma nchi zengine zinaongeza wagonjwa 10,000 kila siku kwa wiki nzima na sisi hali si hio utasema sababu ni nini?
Nyinyi hamna miundombinu bora ya afya,kazi kujisifia mitandaoni na kuiga wazungu. Trump anaondoa lock dow na Wakenya mtaondoa lini.
 
Nyinyi hamna miundombinu bora ya afya,kazi kujisifia mitandaoni na kuiga wazungu
Trump anaondoa lock dow na wakemya mtaondoa lini
Kama hatuna miundombinu bora ya afya, hauoni hio ndo sababu kuu kwanini tunaweka curfew na kufanya testing ili tusifike huko kwa kesi 10,000 kila uchao manake tunajua tukifika huko hospitali zetu hazitaweana? Tumia akili bana!

Alafu hebu nieleze ni vitu gani ambavyo tumeiga wazungu
 
Kupiga raia viboko mpaka kuwaua na kuchana chupi za akina mama,lock down,curfew na mass testing havijasaidia tu?
Joseph Mbilinyi
@IamJongwe__


Tulianza ooh ni KAUGONJWA kadogo, tukaja MAOMBI , tukaja NYUNGU , sasa tuko MADAGASCAR ... What NEXT ?!
Translate Tweet
Image


Kigogo

@kigogo2014


Watanzania jikingeni na corona.Meko na
@umwalimu

got no plans

no strategy

no clue abt it Ndiyo maana wanaruka ruka tu; •kaugonjwa kadogo •salini

ni mapepo •maombi ya siku 3 •jifukizeni tu • dawa ya Madagascar Itoshe kusema hana clue ndiyo maana EAC na SADC wamemtenga

@HecheJohn
wajinga wanawasha ndege kwenda kupokea msaada wa kikombe cha babu
wele Malecela
@mwelentuli


Kikubwa katika pandemic hii ni pamoja na uoga. Utawashawishi vipi watu waje wakati taarifa za hali ya ugonjwa hazitolewi. Utajengaje imani? Kwa nini waache kwenda Mauritius na Namibia ambako hakuna cases?

Charles Onyango-Obbo
@cobbo3


Tanzania's Health Minister Ummy Mwalimu tests positive for coronavirus. Last week she suspended the head of the country’s national test lab, after President Magufuli railed against the agency for reporting more positive virus cases than he liked to see.
 
Joseph Mbilinyi
@IamJongwe__


Tulianza ooh ni KAUGONJWA kadogo, tukaja MAOMBI , tukaja NYUNGU , sasa tuko MADAGASCAR ... What NEXT ?!
Translate Tweet
Image


Kigogo

@kigogo2014


Watanzania jikingeni na corona.Meko na
@umwalimu

got no plans

no strategy

no clue abt it Ndiyo maana wanaruka ruka tu; •kaugonjwa kadogo •salini

ni mapepo •maombi ya siku 3 •jifukizeni tu • dawa ya Madagascar Itoshe kusema hana clue ndiyo maana EAC na SADC wamemtenga

@HecheJohn
wajinga wanawasha ndege kwenda kupokea msaada wa kikombe cha babu
wele Malecela
@mwelentuli


Kikubwa katika pandemic hii ni pamoja na uoga. Utawashawishi vipi watu waje wakati taarifa za hali ya ugonjwa hazitolewi. Utajengaje imani? Kwa nini waache kwenda Mauritius na Namibia ambako hakuna cases?

Charles Onyango-Obbo
@cobbo3


Tanzania's Health Minister Ummy Mwalimu tests positive for coronavirus. Last week she suspended the head of the country’s national test lab, after President Magufuli railed against the agency for reporting more positive virus cases than he liked to see.
sisi tulijipambanua tokea mwanzo,ndio maana mnaotushangaa nasisi tunawashangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joseph Mbilinyi
@IamJongwe__


Tulianza ooh ni KAUGONJWA kadogo, tukaja MAOMBI , tukaja NYUNGU , sasa tuko MADAGASCAR ... What NEXT ?!
Translate Tweet
Image


Kigogo

@kigogo2014


Watanzania jikingeni na corona.Meko na
@umwalimu

got no plans

no strategy

no clue abt it Ndiyo maana wanaruka ruka tu; •kaugonjwa kadogo •salini

ni mapepo •maombi ya siku 3 •jifukizeni tu • dawa ya Madagascar Itoshe kusema hana clue ndiyo maana EAC na SADC wamemtenga

@HecheJohn
wajinga wanawasha ndege kwenda kupokea msaada wa kikombe cha babu
wele Malecela
@mwelentuli


Kikubwa katika pandemic hii ni pamoja na uoga. Utawashawishi vipi watu waje wakati taarifa za hali ya ugonjwa hazitolewi. Utajengaje imani? Kwa nini waache kwenda Mauritius na Namibia ambako hakuna cases?

Charles Onyango-Obbo
@cobbo3


Tanzania's Health Minister Ummy Mwalimu tests positive for coronavirus. Last week she suspended the head of the country’s national test lab, after President Magufuli railed against the agency for reporting more positive virus cases than he liked to see.
Saivi tunayo yetu
 
Saivi tunayo yetu

Nikumbushe afrosinema starring babu wa loliondo na kikombe chake iliishaje!!! kutapeliwa ndio watz hamukomi wala kupata somo lolote!!! Dawa mpya lazima ifanyiwe efficacy test huru iwe ya kiasili au toka mahabara. sio anayetengeza dawa kutoa madai isiyo na data ya kudhibitisha mbali anakufanya wewe jaribio lake. bure kabisaaaa!!
1589150958273.png

zitto MwamiRuyagwa Kabwe

@zittokabwe

·
May 9

Replying to
@JoyDoreenBiira
When he was Roads Minister he built roads to Loliondo for people to go and drink ‘ Kikombe cha Babu’. It is not news that as President he sent a presidential jet to Antananarivo to collect The Tonic. History repeats.....


Image


1

3

5
 
sisi tulijipambanua tokea mwanzo,ndio maana mnaotushangaa nasisi tunawashangaa.Sent using Jamii Forums mobile app
1589151624186.png

endelea kutushangaa tu, mavuno ya sera za awamu ya tano na corona zipo wazi!!!!
Ġoodluck 𝗛aule


@RealHauleGluck




Familia imetupa taarifa ya kifo cha mke wa ndugu Joshua ambaye alifariki kwa Corona siku 11 zilizopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe!
Translate Tweet
Quote Tweet
Ġoodluck 𝗛aule
@RealHauleGluck
· Apr 30

”NMB Mafinga imefungwa. Mfanyakazi anaitwa Joshua Kikungwe amefariki na wengine wapo karantini. Huduma zilikua zinatolewa nje kwenye gari na wafanyakazi wa kutoka NMB Iringa, Hide my ID kaka” -

Pumzika kwa Amani Joshua; Bwana ametoa & Bwana ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe!
Image
4:42 PM · May 10, 2020·Twitter for iPhone
@kigogo2014

Hii mbuzi ya jalalani ipeni salama hawa wanazikwa hapa ni nani? Kawaambie hao wana Rombo ndiyo maana wanaitwa WaRombo !
@MnaaZawadi

Image
Image
Image
Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima akimwakilisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassimu Majaliwa ameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa mchunguzi mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini ambaye amezikwa wilayani Rorya mkoani humo leo Mei 10,2020

Image
Image
Image
Kigogo
@kigogo2014


We said it hamkutaka kusikiliza! Mna kazi ya kujazana ujinga tu
Translate Tweet

Zambia shuts border with Tanzania over virus spread fears
This article will focus on major developments coming from the southern African country.
africanews.com

12:05 PM · May 10, 2020·Twitter for iPhone
 

Attachments

  • 1589151530771.png
    1589151530771.png
    104.7 KB · Views: 2

Kazi yao ni imekuwa ni ya kuficha mambo ndiyo taifa zingine I kwamba Tanzania ni kubaya. Lakini kuna mengine hamwezi mkaficha kama haya tazama hiyo number plate alafu useme ni ya wapi. @naton
 
KAma nchi zengine zinaongeza wagonjwa 10,000 kila siku kwa wiki nzima na sisi hali si hio utasema sababu ni nini?
Wakenya kwa ujinga mbona mnasema watz wanakufa na kuzikwa usiku ila amsemi wakenya wanao kufa wanazikwa vipi na wapi wala ampost picha za mziko kama sisi ,habari ya chini ya kapeti Kenya wamekufa watu 71 mpaka sasa serikali yenu inaficha kwa sababu za kisiasa

Send by APOLO 1
 
Nyinyi hamna miundombinu bora ya afya,kazi kujisifia mitandaoni na kuiga wazungu. Trump anaondoa lock dow na Wakenya mtaondoa lini.
Kenya korona imeua watu 71 mpaka sasa ila awaonyeshi maziko kazi kutupigia kelele watz

Send by APOLO 1
 

Kazi yao ni imekuwa ni ya kuficha mambo ndiyo taifa zingine I kwamba Tanzania ni kubaya. Lakini kuna mengine hamwezi mkaficha kama haya tazama hiyo number plate alafu useme ni ya wapi. @naton
View attachment 1446575


Hatari sana hii, jameni hivi mbona Tanzania imekua hivi....hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, sielewi kwanini taarifa zinafichwa inabidi watu watupie videos tu.
 
Back
Top Bottom